BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,044
Kuna huyu mtanzania anaitwa Dr. Leonard Chamuriho, huyu ni nani hasa katika historia ya Tanzania?
Nini mafanikio yake katika utumishi wa Tanzania? Naomba
Jumatano tarehe 10/3/2021 nikiwa kazini nilijisikia msukumo mkubwa ndani ya moyo na sauti ikisema: nenda haraka kaombe kwa ajili ya afya ya rais JPM. Nikajifungia ofisini nikatii agizo. Ninamwamini Mungu, mtenda miujiza!Nina asilimia 100 news ta ukweli. The man is bouncing back.
Pole sana, pole.Asante nimeumwa now it is about two weeks hoi bin taaban
Wakina Diwani na lake Gang wanafosi huyu awe VP ili alinde machafu yao.Sana Tena Sana. Afya kidogo imenizingua. Sijui Nini kinaendelea
Mkuu,Vicky,ntakufuata huko jamhuribya inboksi yako,nataka kuchonga na wewe kidogo,unikopeshe,ngoja nije huko tuyamalizeNina asilimia 100 news ta ukweli. The man is bouncing back.
Pole sana. Walikupa mseto wa kutibu malaria? Kuna jamaa mmoja aliugua, dalili za covid 100%, wakamwandikia mseto za kumeza mpaka nikamwonea huruma. Ameshapona sasa hivi lakini. Huyo dr alisema eti zinasaidia. Tatizo la nchi yetu ni kuwa hakuna mwongozo wowote kuhusu namna ya kutibu huu ugnjwa. Kila dr anatumia maarifa yake. Nchi nyingine wana-update mwongozo kila baada ya muda na dr wanashea uzoefu.Mie leo nna15dys .lakini mbav bado zinabana..na nna dawa za mwez mzima..inachosha balaa
Siunajua mpwa ndo paymaster general, akija mtu ambae hawaelewani itakuwa shigidi shidahWakina Diwani na lake Gang wanafosi huyu awe VP ili alinde machafu yao.
Inategemea na unaweza ona kuna ambao wanakuwa na Corona hata dalili hawana. Siyo automatic kuwa kwa vile kapata Corona basi atapata Permanent damage. Yes yupo kwenye risk. But as for now the man is coming back. Tujiandae kwa vichambo.
SawaKinachonishangaza sana ni kuwaona watu wakidiskas issues as if wanajua in and out, halafu all of a sudden wanadai mbona hatuambiwi kulikoni!??? Shame on you all mnaomwombea Rais mabaya!!!
Safi sanaJumatano tarehe 10/3/2021 nikiwa kazini nilijisikia msukumo mkubwa ndani ya moyo na sauti ikisema: nenda haraka kaombe kwa ajili ya afya ya rais JPM. Nikajifungia ofisini nikatii agizo. Ninamwamini Mungu, mtenda miujiza!
Imani ni bora kuliko diniKesho mtamuona mzee wetu kanisani akiwa na afya tele!! Mnalishwa matango pori yatawaumiza myoyo baadae!!
Nimejaribu kupitia story toka mwanzo naona nizakuunga unga tu!!
Ilianza nairobi
Ikaja india
Ikaja hajaondoka yuko dar
Ikaja mzena
Maneno meeengi bila ushaidi!! Kesho mnaumbuliwa!!!
kuna jamaa anajiita chahalali nae anasema ana uhakika 200% jamaa kadediNina asilimia 100 news ta ukweli. The man is bouncing back.
Inaonekana jiwe alitumia ujanja janja kusoma degree zake zote. Level yake ya ubongo kwangu mimi naona kama haifikii hata ya mtu mwenye degree ya bachelor.Chamurinho pia inadaiwa walikuwa pamoja na jiwe UDSM wakati wakati wote wakifanya Bachelor Degree.
Tomorrow never comes , the guy is no more for sureKesho mtamuona mzee wetu kanisani akiwa na afya tele!! Mnalishwa matango pori yatawaumiza myoyo baadae!!
Nimejaribu kupitia story toka mwanzo naona nizakuunga unga tu!!
Ilianza nairobi
Ikaja india
Ikaja hajaondoka yuko dar
Ikaja mzena
Maneno meeengi bila ushaidi!! Kesho mnaumbuliwa!!!
Hii kitu ni ovyo kabisa.Ulichosema ni kweli mkuu..mie iliniaafect kbs brain..nilikua nawaza kwa muda mrefu mno ndo nijibu..kifupi mm.nilikua nawehuka kbs sasa sipatii picha yeye
Kesho mtamuona mzee wetu kanisani akiwa na afya tele!! Mnalishwa matango pori yatawaumiza myoyo baadae!!
Nimejaribu kupitia story toka mwanzo naona nizakuunga unga tu!!
Ilianza nairobi
Ikaja india
Ikaja hajaondoka yuko dar
Ikaja mzena
Maneno meeengi bila ushaidi!! Kesho mnaumbuliwa!!!
Lakini mzee aache roho mbaya mpaka anatuweka majaribuni kutaka iwe hivyohivyo kama wanavyotabiri,mzee badirika acha ubabe na wewe ulizaliwa na utakufa siku moja kama wanadamu wengine khaaa.
Hata darasa la nane la 1970s hafikiInaonekana jiwe alitumia ujanja janja kusoma degree zake zote. Level yake ya ubongo kwangu mimi naona kama haifikii hata ya mtu mwenye degree ya bachelor.
Upo sawa mkuu, nilisha pata huo ugonjwa bahati nzuri haukunichukua sana, lakini kama ukikukamata vizuri kisha oxgeni mwilini mwako ikishuka below 77% kitu cha kwanza kuathirika mwilini mwako ni ubongo, kwa hapa ulaya madakitari wanacho fanya ni kukulaza usingizini yaani coma na kukuweka ICU na kuendelea kukutibu ukipona hauta kuwa 100% fit, na utakuwa na athali za kiafya na mentali maisha yako yote.