johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Dkt. Kigwangalla ambaye ni waziri mstaafu wa Serikali ya awamu ya 5 amesema kwa sasa amejikita kwenye ufugaji kwa kuwa ujasiriamali unalipa kuliko kitu kingine chochote.
Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa kisasa akiwa amejikita kwenye uzalishaji wa madume ya mbegu na maziwa.
Jijini Dar es salaam amefungua duka la maziwa maeneo ya Kunduchi mtongani linalosimamiwa na mke wake.
Dkt. Kigwangalla amewataka vijana kujikita kwenye ujasiriamali wasisubiri ajira kwani ushindani wa ajira ni mkubwa.
Maendeleo hayana vyama!
Kigwangalla amesema kwa sasa anamiliki shamba kubwa la mifugo huko Mvomero mkoani Morogoro ambako anazalisha ng'ombe wa kisasa akiwa amejikita kwenye uzalishaji wa madume ya mbegu na maziwa.
Jijini Dar es salaam amefungua duka la maziwa maeneo ya Kunduchi mtongani linalosimamiwa na mke wake.
Dkt. Kigwangalla amewataka vijana kujikita kwenye ujasiriamali wasisubiri ajira kwani ushindani wa ajira ni mkubwa.
Maendeleo hayana vyama!