Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,689
- 3,259
Juzi kati nilikutana na hiki kitabu kinaitwa Wasomi Wajinga. Katika kukipitia nilikuta kina mambo ya kushangaza sana. Ni kama zile play za Kezilahabi. Kina maneno makali na yenye ukakasi.
Nimejaribu kumgoogle muandishi wake Dr Dyaboli Moyo nimeambulia patupu.
Hata humu JF sijaona sehemu kikizungumziwa.
Ni nani muandishi wa kitabu hiki? Umekisoma?
Nimejaribu kumgoogle muandishi wake Dr Dyaboli Moyo nimeambulia patupu.
Hata humu JF sijaona sehemu kikizungumziwa.
Ni nani muandishi wa kitabu hiki? Umekisoma?