Bado napambana imo humu JF YouTube nimeikosaNitashukuru maana mimi wakati anateuliwa KMK nilitaka kuiserve ikaniponyoka sikuipata tena
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani Dr aliwakosea nini? Haaa haaa kwahiyo Dr Bashiru ni jimbo la mama Samia na kina mdee jimbo la Ndugai haa haa haa maisha haya![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bashiru mwezi February alikuwa anaishi nyumba ya Katibu mkuu ccm, March akaamia nyumba ya Katibu kiongozi,
Sasa anahamia nyumbani kwake msesewe.
Utalii wa ndani [emoji1787][emoji1787][emoji2093][emoji2093]
Nayaogopa sana maisha hayana formula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani Dr aliwakosea nini? Haaa haaa kwahiyo Dr Bashiru ni jimbo la mama Samia na kina mdee jimbo la Ndugai haa haa haa maisha haya!
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Arudi Kemondo Akauze NdiziNamanisha na ubunge asingepewa arudi mlimani kushika chaki. Huyu mtu ni kirusi cha koronya.
Ndiyo Ukweli WenyeweDaah! Hatimaye naye amefukuzwa kwenye bustani ya Eden. Naye kuanzia sasa atakuwa anawaonea tausi kwa mbaali
Sigmoid curve.Katibu mkuu wa chama -> Katibu Mkuu Kiongozi -> mbunge wa viti maalum
Mliosoma sayansi hii graph inaitwaje?
Kwakweli hayana formulaNayaogopa sana maisha hayana formula
ππππKapiga katerero katika mashuka ya ikulu.Mama kasikia kakasirika make ameonesha hana adabu.