imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Nimesoma habari za kuaminika za upigaji na hata hela ya msiba amelambaJamani nizundueni. Hivi ni kwa nini huyu Bashiru ametokea kuchukiwa hivi ghafla? Asilimia 90 ya watu wanao.comment kumhusu wanampiga nyundo. Mbona mimi naona kama ni mmoja wa viongozi wazuri walioko CCM? Hata zamani alikuwa hachukiwi hivi, ni nini kimetokea?
Source:Kigogo14




