Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Bashiru was fooled by some people walizokuwa na kiu ya nafasi za kiuongozi katika taifa wakitaka kuimanipulate katiba! Kitendo Cha kumpangia mama ziara ya siku 7 huku wakijua kuwa Mambo hayakuwa sawa hospitalini ni uhaini!
Hata hivyo ashukuru mama Hana hasira na amempuuza na kumsamehe! Akatubu na kumuomba mama msamaha pindi apatapo nafasi!
Ndio maana CDF aliomba maswala mengine awasilishe ofisini badala ya kwenye podium.Sasa nimeanza kuelewa jambo.
Bashiru angetafutiwa hata Ubalozi,kwasababu anaenda kukutana na wale wabunge aliowanunua wengine wanaenda kuwa boss zake,kama kina Gekul na Silinde.
 
Kuna vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu

Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA

Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!

Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.

Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.

Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.

Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
Kinywa kiliubwa ili kuumba, ila binadamu sie tunakitumia kuwasiliana.
Kuna mtu mmoja anaitwa Yefta kwenye biblia, alikwenda vitani kupigana na Waamoni akasema "chochote kitakachotoka mlangoni kwangu kunilaki baada ya kuwapiga Waamoni nitakitoa sadaka ya kuteketezwa kwa Mungu".Wakati anarudi, binti yake wa pekee atatoka kuja kumlaki. Yefta alilia kwa uchungu mkubwa, ila binti yake akasema, ikiwa umeapa kwa Mungu basi nitendee kama ulivyosema.
 
giphy.gif
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Kuna vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu

Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA

Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!

Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.

Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.

Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.

Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
Hebu weka ile clip chief !

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana CDF aliomba maswala mengine awasilishe ofisini badala ya kwenye podium.Sasa nimeanza kuelewa jambo.
Bashiru angetafutiwa hata Ubalozi,kwasababu anaenda kukutana na wale wabunge aliowanunua wengine wanaenda kuwa boss zake,kama kina Gekul na Silinde.
Duu jamani usimnyanyapae mtu huijui kesho yake!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mwezi wa January Bashiru alikua anakaa nyumba iliyotengwa kwa ajili ya katibu mkuu wa CCM.
Mwezi wa February akahamia nyumba ya katibu mkuu kiongozi
Mwezi wa March amehamia kwenye nyumba yake Changanyikeni nyuma ya chuo kikuu Cha Dar.
Nyumba tatu ndani ya miezi mitatu. Akija Dodoma atakua anafikia gesti Haus
 
Mwezi wa January Bashiru alikua anakaa nyumba iliyotengwa kwa ajili ya katibu mkuu wa CCM.
Mwezi wa February akahamia nyumba ya katibu mkuu kiongozi
Mwezi wa March amehamia kwenye nyumba yake Changanyikeni nyuma ya chuo kikuu Cha Dar.
Nyumba tatu ndani ya miezi mitatu. Akija Dodoma atakua anafikia gesti Haus

Bashiru mwezi February alikuwa anaishi nyumba ya Katibu mkuu ccm, March akaamia nyumba ya Katibu kiongozi,
Sasa anahamia nyumbani kwake msesewe.
Utalii wa ndani
 
Back
Top Bottom