Dkt. Bashiru Ally pole lakini maneno huumba

Amevuna mdomo wake ulichopanda, sasa asubiri kumuuliza Gekul maswali ya nyongeza
 
Wivu tu
 
Tuendelee kukumbuka Cheo ni dhamana.. hakuna aliezaliwa nacho ...

Apambane na hali yake

Kweli kabisa cheo ni dhamana. Bashiru ni mchapakazi kweli kweli. Sidhani kama ana interest za kupata mali wala madaraka makubwa. Na hata haya yaliyotokea, ni mtu mjinga peke yake atakayethubutu kusema ndio amefika mwisho wake. Siasa zina mambo mengi sana. Na maajabu huwa hayajawahi kuisha
 
But for the the time being that's a setback...!!!
 
Tuendelee na hapo pa kutokudhani, hayo anajua yeye nia yake ni ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But for the the time being that's a setback...!!!
Indeed that is a set back. It happens and it can happen to anyone. Ila sio mwisho wa mwendo wetu wa maisha. Mama Samia ana sababu zake za msingi za kumuweka pembeni. Naliheshimu sana hilo maana tumempa jukumu zito la kuipeleka mbele nchi yetu.
Na lazima awe na team inayoendana naye. Kwa Bashiru ni time sasa ya kurelax, kuanza kufikiria upya. Kilichoharibika ni kusahihisha. Chema ni kuboresha.
Ila bado ana nafasi kubwa, kuliko wengine wengi ndani ya msafara huu wa uongozi wa Tanzania
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote... Muktadha wa mada ulikuwa si kumnanga bali kumkumbusha dhima ya nguvu ya kauli
 
Huyu hajakombolewa na elimu yake bado, kila mtu alishangaa juu ya hilo
 
Si mara zote maneno huumba

Mara ngapi tunajisemea mema na hayawi?.
 
Si mara zote maneno huumba

mara ngapi tunajisemea mema na hayawi?.
Muwe mnasoma na kuelewa kitu kabla hamjachangia...[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu .....

Zingatia MAMBO MAKUBWA KWENYE MAZUNGUMZO YETU... Si kila uliwazalo ama ulitakalo huwa....!!!!
 
I have noted something here..!!!
It sound like a whistle...... blow burst the mission.
Hence mission failed...
Hii nchi ni ngumu sana, but ukiwa ni muadilifu unakula kiulaini bila stress wala tension /misukosuko.
 
Ili mradi halali nje

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Dunia duara haki tena...sasa hivi inamzunguka Dkt. Bashuru anaenda kuuma bench na msukuma na Gwajima. Acha niendelee na kazi yangu ya kuchunga mbuzi tu.
Mwenzio baada ya miaka 4 anakunja 300m, wewe endelea kuchunga mbuzi mkuu

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
bashiru hajapoteza.hata ubunge Una hela Sana.
Ule wadhifa mkuu, kuwa katibu wa chama kama sisiem si mchezo, wale bungeni mpaka kuingia kwenye kinyang'anyilo katibu anahusika sana, huoni alivyokuwa akienda ziara anavyopokelewa sahizi wapi kwa fungu la nani na kufanya nini?

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Pole yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…