SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,055
Yuko gym anajifua, anasema amejifunza kitu, makafara siyo dili harudii tenaVipi Hamis Kingwangwala ?? yupo mji huu
Yuko gym anajifua, anasema amejifunza kitu, makafara siyo dili harudii tenaVipi Hamis Kingwangwala ?? yupo mji huu
Ila Mama ajichunge sana na yule Naibu,siyo mtu mzuri ana karama ya kuwaombea wakubwa wake dua mbaya na zinawapata kweliKwahiyo kwenye Wizara ya Afya wameachwa wale Mawaziri wa Nyungu? Hii inaonyesha mama naye anaamini kuwa corona ilishajiondoa baada ya kusimangwa na maombi
Poty uko vizuriManeno huumba uhalisia.. Ndio maana Waswahel husema MDOMO KOMA..na kutema mate chini kama ishara ya kuyatema aliyotamka ...kutema pia kuna ishara na maana ya kukana, kufisha na kuzika
Kwa hiyo Mbingu zilikuwa wazi na Dua ikafikaIla Mama ajichunge sana na yule Naibu,siyo mtu mzuri ana karama ya kuwaombea wakubwa wake dua mbaya na zinawapata kweliView attachment 1741912
Ni mtu wa nadharia zaidi kuliko vitendo.Kwa kumtazama tu, alikuwa anaonekana asingeweza kuvaa viatu vya Katibu Mkuu Kiongozi...
Jamaa hana haiba ya uongozi wa umma, ana haiba ya kuwa mwanazuoni zaidi...
Sent from my Nokia 5.4 using JamiiForums mobile app
Kigoma moja hiyoHuyu kaTANGA Ni mtu wa TANGA mwenzangu?
Hiyo picha inanikumbusha ule usemi usemao.
" Shut your mouth, open your ears and eyes"
Mapema sana kusema amesamehewa,ngoja CAG amalize ile special task pale BOT
MATAGA hivi hili neno lina maana gani 😂😂Kurudi huko ni demotion na tayari nafasi inagombewa na mataga
Hiki hapaKinachonishangazi mbona watu wamefurahi sana.....kwani aliwakosea nini mpaka watu wafurahie kuporomoka kwake
Yaani kurudi UDSM ni demotion? No wonder watu wenye mtizamo huu kazi yao kila mara ni kufikiria vyeo ni sehemu ya kwenda kupiga badala ya kutumikia umma...Kwenda UDSM kwake ni promotion siyo demotion kwakua ataendelea na carrier yake...Alipoondolewa kabla ya kufikia nafasi ya juu kwenye taaluma hiyo kwa mwanazuoni ni sadaka kwa nchi yake...Itoshe kusema Dr. Bashiru ameisaidia nchi kwakukubali teuzi hizo na kwakua aliyeona anafaa aliondoka ni sahihi kabisa kama angerudi alikotoka, hata hivyo aliyepo ameona anamfaa bado kwenye bunge pengine kuisaidia nchi kwenye maamuzi...Tusiwe na macho hasi kwa kila jambo....Tabia ya kupenda vyeo bila tija ni hatari kwa taifa; Mh. Rais Samia ametuonya kuwa tunajenga nyumba moja kila nafasi ni muhimu katika kuijenga nyumba yetu Tanzania.Atarudi kwenye ukatibu mkuu sisiemu lakini alipaswa awe demoted kabisa kabisa arudi udsm kumark course work za wanafunzi
Naunga mkono hojaKatika msiba wa JPM nashauri tumtambue Bashiru kama mfiwa namba moja
Mungu hadhihakiwi.Hi vitu hufanya kazi nje ya uwezo na utashi wa kawaida wa binadamu....Na hii ndio maana tunaaswa sana tuwe na tafakuri kubwa tunapotamka mambo makubwa kwenye mazungumzo yetu
Bashiru msomi wa chuo kikuu cha Dsm wakati anateuliwa kushika wadhifa wa katibu mkuu wa CCM ... Kwa mdomo wake alitamka wazi kuwa nafasi hiyo ni kubwa sana kwake na hatarajii kushika nafasi nyingine kubwa na hata kama itatokea ATAIKATAA
Matendo ya Mungu si ya wanadamu.. Ikatokea nafasi ya katibu mkuu kiongozi ...nafasi kubwa zaidi kuliko ile ya ukatibu mkuu wa chama...!!!
Kwakuwa tumeumbwa kusahau na tumeumbiwa utashi wa kuwa dhaifu kuyakana maneno yetu hasa penye ulaji Bashiru alishindwa kutengua kauli yake ile.
Ni wazi kiroho kuwa kwakuwa alishakataa ile nafasi kubwa zaidi ya ukatibu mkuu basi kudra zimemfanya awe katibu mkuu kiongozi aliyehudumu muda mfupi zaidi.
Kama bado anajisikia kushika nafasi nyingine kubwa basi atengue kauli yake ile na mambo yatakuwa safi.
Midomo huumba... Tuwazayo na tutamkayo kwa asilimia 80 huwa...!!!! Tumakinike na kauli zetu.!
View attachment 1741824