hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,884
- 2,781
Raisi mtarajiwa Dr.Slaa amefanya jambo la maana sana
Suala la Jambo la maana ni sawa, ila suala la Rais mtarajiwa ndo nna waswas nalo
Raisi mtarajiwa Dr.Slaa amefanya jambo la maana sana
Hivi unapata hata muda wa kulala kweli?
Uchaguzi huo mwaka huu tutaona Mengi tuu, Leo slaa
amekuwa MWEMA kwa waislam?
nimatumaini yetu utaibadilisha bakwata kuwa na taasisi ya kuwatumikia waislam
Sijamuelewa kabisaa!
nani ni mwema kwa waislamu? jk au ayatollaha?
Uchaguzi huo mwaka huu tutaona Mengi tuu, Leo slaa
amekuwa MWEMA kwa waislam?
Mufti mkuu ndio nini?
CDM kweli hawajui kuwa hakuna Mufti mkuu na wala hakuna Mufti wa Waislamu?
Hiki chama viongozi wake wakoje?
Mufti wa BAKWATA.
Bakwata ni wasabato?
uungwana alionao DR SLAA haupimiki ! tunakushukuru sana Mh katibu mkuu .
Halafu ili Mungu aendelee kumjaalia arudishe mke wa mtu arudiane na mkewe.Ila kiukweki Dr.W.Slaa ni kiongozi wa kipekee sana. Mungu aendelee kumjaalia hizi busara na hekima na unyenyekevu mkubwa zaidi ya huu.
Naungana na Dr.W.Slaa kumpongeza kaimu mufti mkuu shekhe zuberi kwa imani na heshima alopewa na wenzake na hasa Mungu ili awaongoze waislamu katika kipindi hiki cha mpito
Halafu ili Mungu aendelee kumjaalia arudishe mke wa mtu arudiane na mkewe.
Ni unafki wala si uungwana
waislamu wa nchi hii hata kama mnawadharau kiasi gani lakini wao sio wajinga kwa kiasi mnachodhani. kamwe hahawezi kushawishika na hizi approach za kitoto.Hongera Mufti pia Hongera sana Dr Slaa kwa kutambua wajibu wako kama kiongozi na rais ujao ktk mashirikiano ya taasisi za kisiasa na za kidini!
waislamu wa nchi hii hata kama mnawadharau kiasi gani lakini wao sio wajinga kwa kiasi mnachodhani. kamwe hahawezi kushawishika na hizi approach za kitoto.
wanajua kuwa chadema ni cha wagalatia wachukiao uislamju
Mkuu mkigoma
Usidanganyike mkuu. Unataka tuweke rekodi safi ya Dk. Slaa hapa namna ambavyo ametumikia Watanzania wa dini zote lakini akafanya kazi straight chini ya viongozi wa kiroho wa dini ya kiislam, tena kwa mafanikio katika programu ambazo zilikuwa zinatambulika na jamii na hadi leo zina matunda yanayoonekana.
Haya ni mafundisho ya Ukristo, ukifunga ndoa hakuna kuachana na ukiachana ukapata mwingine utakuwa unazini. Wakati Slaa ni padri alifundisha sana haya maneno na sasa kageuka. Hafai kuwa kiongozi.Sidhani kama ID yako inaendana na ulicho andika