Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...

Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi...


Hakuna kitu hapo,Mwakyembe alisema hivyo hivyo baada ya kulishwa sumu,Lowassa nae alisema pia.

Kwahiyo tutasubiri sana Ulimboka aseme kitu,misingi mibovu na vitisho ndivyo vitamfunga mdomo,very sad lakini huo ndio ukweli.
 
Hatua anazo chukua ni sawa sawa. Hakuna watu hopeless wa kuwapigania kama wa TZ. They will let you fry in the open kabisa. Zaidi zaidi watalalamika kua umeonewa.

Yeye aangalia power base yake ikoje kwanza kabla ya kujua afanye nini. The reason wamethubutu kumfanyia hivyo ni kwasbabu walijua ana weak power base,ndio maana hawawezi fanyia unyama wa namna hio watu wengine wapigania "haki".

Kama hakieleweki ndugu yangu Ulimboka, watishe kidogo, vuta mkwanja wa kueleweka amsha zako mbele. You will die for these bongolanders and not even a stone will be put in your memory. Play your cards right!
 
Watu chupi zimelegea safari hii. Ndio maana nilisema kama kova Amefunga Ramadhan basi funga yake ni sifuri kwa Mwenyezi Mungu.

kabla ya ramadhan niliwah kuandika hapa nikasema,,,KOVA ANADANGANYA KWAKUA ANAJUA ATATUBU NDANI YA RAMADHAN,SO KAMA ATADANGANYA TENA WITHIN SWAUM SIJUI ATATUBU WAPI???NA KWA BAHAT MBAYA ASHAENDA KUHIJI MAKKAH
 
Watu chupi zimelegea safari hii. Ndio maana nilisema kama kova Amefunga Ramadhan basi funga yake ni sifuri kwa Mwenyezi Mungu.

kabla ya ramadhan niliwah kuandika hapa nikasema,,,KOVA ANADANGANYA KWAKUA ANAJUA ATATUBU NDANI YA RAMADHAN,SO KAMA ATADANGANYA TENA WITHIN SWAUM SIJUI ATATUBU WAPI???NA KWA BAHAT MBAYA ASHAENDA KUHIJI MAKKAH
 
Jamaa bado anajificha? kweli kilkuwa kipigo cha kutisha! Atarudia?
 
kwa nini ichukue muda mrefu hivyo kutoa taarifa kwa watanzania?au anasubiri serikali imkatie kwanza??wote wameoza na kupungukiwa na utukufu wa mungu
 
Huyu naye angetulia zake tu huko aliko ili asilianzishe lingine litakalowaudhi watesi wake.

Kwa sasa anachoweza kufanya cha busara ni kumshukuru Mungu tu kwa kumponya na kifo ambacho kilikuwa dhahiri.

Unless ana hamu ya kumalizwa moja kwa moja, jambo la muhimu kwake kwa sasa ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine.

Radhia, elewa humu duniani tumetofautiana, kuna watu wapo kwa ajili ya mabadiliko (some positive, some negative). Na hawatakufa mpaka yametimia.

Ila pia kuna watu (mfano wewe) kila kitu ni Inshaala, you dont argue on anything happening. No reasoning on anything happening.

Kwa ushauri wangu Dr aendelee na mapambano yenye lengo safi ndani yake kwa ustawi wa jamii ya watanzania. No matter what....mwisho wa maisha ya duniani ni mwanzo wa maisha mengine mbinguni.
 
Kitu kilichotokea Dr.Ullimboka maadui zake sasa hivi wako kwenye mazungumzo nae ndio maana analeta siasa hataki kueleza kilichomtokea usishangae asieleze kabisa au akaeleza story tofauti na ile ya mwanahalisi.Manake maadui zake wanaweza kumweleza bwana samehe yale yalikuwa ni matatizo ya kiufundi wakampa shavu akatulia zake kimya.Ndio maana ameanza kuleta porojo.
Manake hili neno:Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi... limepigwa kiufundi sio ajabu ameambiwa aliseme ili kunarrow ushaidi.

Mimi nimekumbuka ile video aliyoiweka Invisible ya Ulimboka katika maneno yake mwenyewe. Ile mida alikuwa hawezi kuzungumza na alizungumza kwa tabu.

Leo amerudi amesema yuko fit anaanza kuzunguka mbuyu?

Yawezekana ndio ameshachakachuliwa.

Ajiangalie akitoka nje, anaweza kubambikiwa ujambazi au ukibaka na kurudishwa kwa udongo.

Kama ana la kulisema aliseme tu,kama hana akae kimya...kama ndio sinema ya kihindi...ahhh liwalo naliwe!
 
Huyu naye angetulia zake tu huko aliko ili asilianzishe lingine litakalowaudhi watesi wake. Kwa sasa anachoweza kufanya cha busara ni kumshukuru Mungu tu kwa kumponya na kifo ambacho kilikuwa dhahiri. Unless ana hamu ya kumalizwa moja kwa moja, jambo la muhimu kwake kwa sasa ni kukaa kimya na kuendelea na mambo mengine:israel:
 
Naona mabwepande wametema beat kali na kumfunga mdogo ULi. Sasa next watammaliza kabisa kabla ya muda wa kuwatataja haujafika halafu waseme mtu pekee aliyekuwa anaujua ukweli ni ULi na hakuna mwingine. Case kushneey
 
Dr. Ulimboka akiamwua kunyamaza basi yeye ndiye atakuwa MSALITI kwa uymma wa watanzania waliokuwa wamelazwa hospitalini kabla, wakati na baada ya ya mgomo wa madaktari. Na watu na familia zote zilizopoteza wagonjwa kabla na baada ya mgomo watamlaani na wato wote tutasema AMINA!
 
Dr. Ulimboka akiamwua kunyamaza basi yeye ndiye atakuwa MSALITI namba One kwa umma wa watanzania waliokuwa wamelazwa hospitalini kabla, wakati na baada ya ya mgomo wa madaktari. Na watu na familia zote zilizopoteza wagonjwa kabla na baada ya mgomo watamlaani na watu wote tutasema AMINA!
 
Kitu kilichotokea Dr.Ullimboka maadui zake sasa hivi wako kwenye mazungumzo nae ndio maana analeta siasa hataki kueleza kilichomtokea usishangae asieleze kabisa au akaeleza story tofauti na ile ya mwanahalisi.Manake maadui zake wanaweza kumweleza bwana samehe yale yalikuwa ni matatizo ya kiufundi wakampa shavu akatulia zake kimya.Ndio maana ameanza kuleta porojo.
Manake hili neno:Dk. Ulimboka: Ninayejua ukweli ni mimi... limepigwa kiufundi sio ajabu ameambiwa aliseme ili kunarrow ushaidi.

katika hii nchi hilo unenalo mbona ni rahisi sana
 
Mi nilisema kabisa awali kua tunakoelekea ni marudio ya movie ya mwakyembe wala sina shaka na hilo.
Tena kwa kauli kua "ukweli naujua mimi mwenyewe" tayari gazeti la mwanahalisi limeunguzwa. Binafsi sikupenda kabisa alichofanyiwa na nilipenda sana akieleze hadharani mapema ili watu tujue ukweli, sasa kama kashaanza porojo basi tena.
 
Back
Top Bottom