Dk.Slaa lipa deni hili la CHADEMA

Dk.Slaa lipa deni hili la CHADEMA

Mkuu Tuntemeke, hii mada kwa kuwa inamtaka Dr. Slaa aijibu, nadhani ulikuwa na njia nyingi z kumpata kwanza ikiwemo twitter, fb, au hata kwa simu au kufika ofisini.

Kama umeshindwa zote basi jaribu ku-PM. Akishakujibu ndo uje utuwekee hapa jukwaani habari yenye mizania.

natumaini hata kama umesoma MEMKWA utakuwa umenielewa
 
Nenda kamuemail kumbe ni ishu yenu wawili mwaweza maliza!
 
Huu ni ufisadi wa hali ya juu, hizo ni fedha zetu walipa kodi.

Sasa huyo akipewa Urais itakuwaje? asahau Urais hata aende mashariki na magharibi. Na nyie magwanda mnaojidai mnapinga ufisadi, huu mnauitaje?
 
Nashangaa watu mnaopoteza muda wenu mwingi kumjadili Slaa na kimada wake hapa. Slaa is past kwenye ulingo wa siasa. Ni kama mstaafu au mfu kwenye siasa. Sasa hivi tuwajadili watu kama akina Makamba, Mwigulu,Zitto, Mnyika, Kafulila na wengineo wenye impact kwenye siasa zetu kwa sasa na kwa baadaye.
 
watu wengine wanashangaza! kwani kudaiwa jambo la ajabu??? jiulize serikali yako chini ya dhaifu inadaiwa trillion ngapi na zilifanyia nn? kwani dr. amekataa kulipa au ule muda wa deni umepita? tena wewe tumtemeke toa avatar hii ya koffi Anan unamuabisha unavochemka na kujiaibisha, you are an inconpoop!!
 
Nashangaa watu mnaopoteza muda wenu mwingi kumjadili Slaa na kimada wake hapa. Slaa is past kwenye ulingo wa siasa. Ni kama mstaafu au mfu kwenye siasa. Sasa hivi tuwajadili watu kama akina Makamba, Mwigulu,Zitto, Mnyika, Kafulila na wengineo wenye impact kwenye siasa zetu kwa sasa na kwa baadaye.

mimi naona tukujadili wewe kwanza! unafanana sana na avatar yako
 
watu wengine wanashangaza! kwani kudaiwa jambo la ajabu??? jiulize serikali yako chini ya dhaifu inadaiwa trillion ngapi na zilifanyia nn? kwani dr. amekataa kulipa au ule muda wa deni umepita? tena wewe tumtemeke toa avatar hii ya koffi Anan unamuabisha unavochemka na kujiaibisha, you are an inconpoop!!
Kumbe kujikopesha ruzuku ya chama ni ruksa? Kutokana na comment yako tukiita CDM ni SACCOS tutakuwa tupo sawa kabisa.
 
Je watu wa aina ya Tuntemeke wanahitajika katika siasa za kisasa za leo? Je wananafasi ya kuiona pepo au?

Yericko
Watu kama Tuntemeke ni muhimu sana kwenye siasa si kwa Tanzania tu duniani pote huku tulipo wanaitwa whistleblower ni watu tunawahitaji sana kwenye kuanika machafu ya viongozi wazandiki kama Dr. Slaa na mafisadi wengineo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Kama Dr amekopa na data unazo wewe inakuuma nini au ulitaka aibe kabisa , kumbuka kwamba deni halimfungi mtu , tafuta jambo la maana ulete hapa.
 
Chama cha siasa kinakopwa? huo ni wizi wa waziwazi!

Ina maana kuna nyingine hatuzijui.
TUNTEMEKE vipi software mpya ya bi Josephine huko? bado inatoa mapato "0"?

Kwi kwi kwi kwi.
 
Last edited by a moderator:
Chama cha siasa kinakopwa? huo ni wizi wa waziwazi!

Ina maana kuna nyingine hatuzijui.
TUNTEMEKE vipi software mpya ya bi Josephine huko? bado inatoa mapato "0"?

Kwi kwi kwi kwi.
Siasa za kizamani mpaka sasa hivi bado mnascan hivyo vielelezo? Hata wewe unashabikia uwongo vipi lakini !! Joyce wetu anatangaza tamko la ziwa malawi au kamwachia mwamba wa kaskazini mamvi aitangaze
 
Siasa za kizamani mpaka sasa hivi bado mnascan hivyo vielelezo? Hata wewe unashabikia uwongo vipi lakini !! Joyce wetu anatangaza tamko la ziwa malawi au kamwachia mwamba wa kaskazini mamvi aitangaze

Angekuwa Slaa rais si angeshachukuwa mkopo Malawi akasepa kimya kimya! Mungu huwa hatoi cheo cha Urais hivi hivi ana vigezo vyake!
 
Angekuwa Slaa rais si angeshachukuwa mkopo Malawi akasepa kimya kimya! Mungu huwa hatoi cheo cha Urais hivi hivi ana vigezo vyake!
Mnasubiri mwamba wa kaskazini awafanyie maamuzi mlikuwa mnafikiri urais ni kuserebuka Ngoma kipigo kinakuja muibe Kama kawaida yenu kwa kisingizio cha vita
 
Let's assume ni kweli Slaa kakopa hizo hela. Atarudisha, tatizo liko wapi? Hivi anayekopa ni sawa na anayeiba?
 
Kwani wewe ndiyo Chadema? Acha mambo yasiyokuhusu kwani chama kinaelewa kila kitu!!!
Wana Jf sio kwamba nawaondolea imani na Dr.slaa ndani ya chama,bali huu ni ukweli kabisa kwamba Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.

Mchanganuo wa deni hili ni kama ifuatavyo...

1.Dr.slaa alikopa fedha kiasi cha tsh.Million 80 kwaajili ya kumalizia malipo ya deni la nyumba ya NSSF aliyokopeshwa maeneo ya bunju....Fedha hizi zilikopeshwa tangu mwaka juzi.Ilihali nyumba ile ya bunju na Karatu zilizojengwa na Dr.slaa zinamilikiwa na Bi.Josephine Mshumbusi hii nikwamujibu wa hati ya nyumba kama inavyosomeka kwenye wamiliki wa nyumba za NSSF .

2.Pili alichukua pesa million 40 za chama zilizotengwa kwaajili ya uchaguzi mwaka 2015 fedha hizo ni zile zilizokuwa zikichangiwa na wabunge wa chadema kila mwezi kama walivyokubalina na kamati kuu mapema baada ya uchaguzi(kwenye kikao cha evaluation ya uchaguzi mwaka 2010).sakata hili limepelekea baadhi ya wabunge kugoma kuendelea kuchangia mfuko wa chama na hivi majuzi huko bungeni dodoma kwenye vikao vya chama vya ndani wabunge walisimamia kidete swala hili la kumtaka Dr.slaa alipe deni hilo ili arejeshe imani kwa wabunge kuendelea kuchangia.
Fedha hizo, Dr.slaa alizielekeza kwenda kununulia samani za ndani za nyumbani kwake.Fedha hizi hazikupitia taratibu halali za kukopeshwa kwa sababu alijikopesha ruzuku ya chama (kitu ambacho ni illigeal kwenye katiba ya chama ruzuku)

4.Mnamo Tar:20 mwezi wa 1 mwaka huu Dr.slaa alifika makao makuu na kuomba kukopeshwa kiasi cha tsh.Million 20 za haraka huku akiwa ameambatana na Josephine mshumbusi.Aliwalazimu wahazini kwenda kuchota fedha kwenye account ya chama siku hiyohiyofedha zile alikabidhiwa Josephine mshumbusi ambaye alizichenji kwenda dola na kuziingiza kwenye account yake(jina tunalihifadhi la account)


SAKATA HILI LA DENI LA DR.SLAA limechukua sula tofauti kabisa kwa mwenyekiti wa chama Mh.Freeman Aikael Mbowe ambaye amemtaka Dr.slaa kurejeshaa deni hilo mapema iwezekanavyo..kwa sababu deni hilo limeshaanza kuwagawa wabunge ndani ya chama.Kwa hatua za awali Mwenyekiti wa chama ameamua kukabidhi madaraka ya mapato na matumizi kwa Lema ilikuajaribu kukinusuru chama.

NASISITIZA HII LEO TAR.8/8/2012 WABUNGE WA CHADEMA BAADHI WAMEGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WALEO UNAOFANYIKA MAENEO YA IFAKARA SABABBU IKIWA NI HII HII YA KUIBIWA FEDHA ZAO

IKUMBUKWE WAZI KWAMBA FEDHA ZOTE ANAZO DAIWA DR.SLAA HAZIKUPITIA UTARATIBU HUSIKA WA CHAMA WA KUKOPESHA WAFANYAKAZI WAKE, NI MWAVULI WA UKATIBU MKUU NDIO ULIOPELEKEA KUCHUKUA MAAMUZI YA KUWAFORCE KURUGENZI YA FEDHA KUMKOPESHA FEDHA HIZO.Barua ya kuwafukuza wafanyakaiz kadhaa wanaompinga ndnai ya chama ipo na inascaniwa iletwe hapa,

NAOMBA KAMA DR.SLAA ANAKANA UKWELI HUU AJE HAPA APINGE,USHAHIDI TUNAO.

Jf jukwa huru la kujadili mambo yote sio ya ccm,cuf na TLP tu bali hata ya chadema ni muhimu kuyajadili katika usawa.
 
Mnasubiri mwamba wa kaskazini awafanyie maamuzi mlikuwa mnafikiri urais ni kuserebuka Ngoma kipigo kinakuja muibe Kama kawaida yenu kwa kisingizio cha vita

Mh. Sitta alishatanguliza kauli ya serikali, mh. Membe alitoa tamko rasmi, Lowasa aliiongezea tu; sumu ya ukabila inawatesa Chadema na mtakufa nayo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mh. Sitta alishatanguliza kauli ya serikali, mh. Membe alitoa tamko rasmi, Lowasa aliiongezea tu; sumu ya ukabila inawatesa Chadema na mtakufa nayo

Chama
Gongo la mboto DSM
Ogopa Lowassa Mwamba wa Kaskazini wenye uwezo wa kuijenga au kuibomoa CCM Mleteeni Ufala wenu wa kuserebuka mchiriku muone moto wa petroli
 
Ogopa Lowassa Mwamba wa Kaskazini wenye uwezo wa kuijenga au kuibomoa CCM Mleteeni Ufala wenu wa kuserebuka mchiriku muone moto wa petroli

ahaha haaaaaaa kama ni mwamba kwenu CCM ngoma nzito uliza uambiwe

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Back
Top Bottom