mzee bandika ushaidi na si porojo unakuwa kama dhaifu
Hakuna ushahidu, kwanza NSSF hawana nyumba Bunju na wala hawajamkopesha Dr Slaa fedha za kununua nyumba.
mzee bandika ushaidi na si porojo unakuwa kama dhaifu
Inavyoonekana Uenyekiti wa BAVICHA ndiyo ilikuwa Carrier ya TUNTEMEKE. Kuukosa tu imekuwa tabu. Mi namshauri mwanamme hutakiwa kuwa na kinyongo wala kukata tamaa. Ukilima Mahindi yakikauka kabla ya kuvuna hamia kwenye kuchoma mkaa. Miti ikiisha hamia kwenye boda boda. Boda boda zikiwa nyingi kijiweni haamia kwenye ukondakta. Ndivyo maisha ya uanaumme.
Siyo mtu umekariri tu ntakuwa mwenyekiti BAVICHA basi without having Plan B. Your too Fool TUNTEMEKE but am sory!
TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam - Tanzania),
tumbiri@jamiiforums.com
Huwa una sign PhD Hull is this how you argue? Nini unaongea juu ya hii kadhia inayoelekezwa kwa katibu mkuu is this true or not???? Delineate mkuu not blah blah mtoa mada kasema aje akanushe yeye ataleta evidence need he say more?
Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
mkuu matusi ya nini tena kaka. kama mtu anao ushahidi basi hoja yake ni ya msingi, tumpuuze akishindwa kutuletea ushahidi hapa.Ama ingekuwa nzuri zaidi ungekanusha kwa hoja. Wengine wataishia kusema katumwa, lakini ni vizuri mtu huyo akalipa hilo deni kabla ya kuingia ikulu manake asije kutumia fedha za walipa kodi kulipa deni la chama chake.Sitakaa nimjibu tena mwendawazimu huyu.Ameleta huu uchizi wake hapa ili avuruge operesheni Sangara iliyoanza leo.Huyu ni sawa na mwanaharamu.
dawa ya deni kulipa, sasa kama mtu halipi wengine watapaje fursa ya kukopa kama yake.PANDIKIZI JINGINE! eti umerudi! Umetumwa. kudaiwa ni jambo la kawaida. hata kina mama, vijana etc walalamika kila kukicha benki zipunguze riba ili wakope. Leo hii, Dr Slaa kapata fursa inakuwa nongwa?
Slaa aje ajieleze hapa, asikae kuwatuma kina molelo waje kutoa matusi na kuvuruga hii topic.
Dk Slaa aliposoma orodha ya mafisadi pale Mwembe Yanga alimwaga na ushahidi pale pale. Hakuwapa muda kina Rostam, Mgonja, Rutabanzibwa, Chenge, Mkono, Kikwete, Mkapa, Balali, Karamagi et al wakane tuhuma ndiyo atoe ushahidi. Huyu TUNTEMEKE tunamjua vizuri ni nani na kwa nini anafanya hivi.
Kwa kifupi hizi ni story za kutunga na hana ushahidi ndiyo maana analazimisha Slaa aje hapa kukana ili aanze kuzozana nae apate ujiko! Nipo Dar kwa sasa ndiyo maana huoni Signature ya HULL. I will be back this weekend!
TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam - Tanzania),
tumbiri@jamiiforums.com
Ha!ha!ha!ha! Unamuonea wivu sana bi Josephine kweli unataka uolewe wewe nini? maana kila hela dk.slaa ambayo unadai alikopa alimpa yeye we ndiyo walewale wakina R.Kamili.Hivi unajua utaratibu wa kutoa hela CDM?unajua wahidhinishaji ni nani na nani?au unafikiri zinachotwa tu kama za EPA? Siku nyingine ukiwa unaandika story zako zingatia hayo fanya study ya kitu unachotaka kukielezea ili uongo wako ukaribiane na ukweli.Nikukumbushe tu dk.slaa bado ajafunga ndoa jitahidi unaweza ukaolewa wewe baada ya mshumbuzi