MKALIMOTTO
Senior Member
- Apr 7, 2012
- 136
- 9
Aise kama ndo CDM inaaminika hivi hata kwa madudu wanayoyafanya viongozi wake, basi watanzania tumelishwa sumu mbaya sana na CDM. Hivi ni kweli baadhi yetu tumeamua kuiona CDM ni malaika ambao hawakosei! Ni kweli Dr anadaiwa na chama na kwa taarifa yenu wabishi, hivi juzi tu baadhi ya wabunge walidhamiria kugomea kuendelea kuchangia chama kwa masharti kuwa Dr Slaa arudishe deni la chama kwanza. Mengi wabishi wa CDM mtayashuhudia saaaaaaaaaaana tu. Badala ya kukubali mapungufu ya viongozi wetu wa CDM na kuyachukua kama changamoto na kushauri ili chama kiimarike, mnakaa kubishabisha tu.