Dk.Slaa lipa deni hili la CHADEMA

Aise kama ndo CDM inaaminika hivi hata kwa madudu wanayoyafanya viongozi wake, basi watanzania tumelishwa sumu mbaya sana na CDM. Hivi ni kweli baadhi yetu tumeamua kuiona CDM ni malaika ambao hawakosei! Ni kweli Dr anadaiwa na chama na kwa taarifa yenu wabishi, hivi juzi tu baadhi ya wabunge walidhamiria kugomea kuendelea kuchangia chama kwa masharti kuwa Dr Slaa arudishe deni la chama kwanza. Mengi wabishi wa CDM mtayashuhudia saaaaaaaaaaana tu. Badala ya kukubali mapungufu ya viongozi wetu wa CDM na kuyachukua kama changamoto na kushauri ili chama kiimarike, mnakaa kubishabisha tu.
 
Kweli magamba yamebanwa korodani; yaani sasa yanazungumza chochote! Mwaka huu tutasikia mengi na yote ni evidence kuwa chichiem kwishney!
 
Hivi huko kwenu (CDM) hakuna vikao vinavyojadili mapato na matumizi ya chama? Kama vipo, mbona haya hayajadiliwi huko mnaleta upuuzi hapa? Haya kwangu ni majungu....kama kuna ukweli mngeelezana kwenye vikao. Kama wewe si CDM umeyapata wapi haya na yanakuhusu nini?
 
Kazi kweli kweli, wanawake bwana ni hatari, Ex-Wife ubunge!!!! Wife to be tayari kashapewa nyumba!!! Kweli nimeamini mapenzi ya ukubwani ni noma, Kama Slaa kaopa CDM basi tuelezwe kuna vigezo gani mwanachama vinavyomuwezesha kukopa kwenye chama? Mimi rai yangu ni kwamba wote Slaa na uyo mtarajiwa ni MAGUBE GUBE tu.
 
Wana Jf sio kwamba nawaondolea imani na Dr.slaa ndani ya chama,bali huu ni ukweli kabisa kwamba Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.

Mchanganuo wa deni hili ni kama ifuatavyo...

1.Dr.slaa alikopa fedha kiasi cha tsh.Million 80 kwaajili ya kumalizia malipo ya deni la nyumba ya NSSF aliyokopeshwa maeneo ya bunju....Fedha hizi zilikopeshwa tangu mwaka juzi.Ilihali nyumba ile ya bunju na Karatu zilizojengwa na Dr.slaa zinamilikiwa na Bi.Josephine Mshumbusi hii nikwamujibu wa hati ya nyumba kama inavyosomeka kwenye wamiliki wa nyumba za NSSF .

2.Pili alichukua pesa million 40 za chama zilizotengwa kwaajili ya uchaguzi mwaka 2015 fedha hizo ni zile zilizokuwa zikichangiwa na wabunge wa chadema kila mwezi kama walivyokubalina na kamati kuu mapema baada ya uchaguzi(kwenye kikao cha evaluation ya uchaguzi mwaka 2010).sakata hili limepelekea baadhi ya wabunge kugoma kuendelea kuchangia mfuko wa chama na hivi majuzi huko bungeni dodoma kwenye vikao vya chama vya ndani wabunge walisimamia kidete swala hili la kumtaka Dr.slaa alipe deni hilo ili arejeshe imani kwa wabunge kuendelea kuchangia.
Fedha hizo, Dr.slaa alizielekeza kwenda kununulia samani za ndani za nyumbani kwake.Fedha hizi hazikupitia taratibu halali za kukopeshwa kwa sababu alijikopesha ruzuku ya chama (kitu ambacho ni illigeal kwenye katiba ya chama ruzuku)

4.Mnamo Tar:20 mwezi wa 1 mwaka huu Dr.slaa alifika makao makuu na kuomba kukopeshwa kiasi cha tsh.Million 20 za haraka huku akiwa ameambatana na Josephine mshumbusi.Aliwalazimu wahazini kwenda kuchota fedha kwenye account ya chama siku hiyohiyofedha zile alikabidhiwa Josephine mshumbusi ambaye alizichenji kwenda dola na kuziingiza kwenye account yake(jina tunalihifadhi la account)


SAKATA HILI LA DENI LA DR.SLAA limechukua sula tofauti kabisa kwa mwenyekiti wa chama Mh.Freeman Aikael Mbowe ambaye amemtaka Dr.slaa kurejeshaa deni hilo mapema iwezekanavyo..kwa sababu deni hilo limeshaanza kuwagawa wabunge ndani ya chama.Kwa hatua za awali Mwenyekiti wa chama ameamua kukabidhi madaraka ya mapato na matumizi kwa Lema ilikuajaribu kukinusuru chama.

NASISITIZA HII LEO TAR.8/8/2012 WABUNGE WA CHADEMA BAADHI WAMEGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WALEO UNAOFANYIKA MAENEO YA IFAKARA SABABBU IKIWA NI HII HII YA KUIBIWA FEDHA ZAO

IKUMBUKWE WAZI KWAMBA FEDHA ZOTE ANAZO DAIWA DR.SLAA HAZIKUPITIA UTARATIBU HUSIKA WA CHAMA WA KUKOPESHA WAFANYAKAZI WAKE, NI MWAVULI WA UKATIBU MKUU NDIO ULIOPELEKEA KUCHUKUA MAAMUZI YA KUWAFORCE KURUGENZI YA FEDHA KUMKOPESHA FEDHA HIZO.Barua ya kuwafukuza wafanyakaiz kadhaa wanaompinga ndnai ya chama ipo na inascaniwa iletwe hapa,

NAOMBA KAMA DR.SLAA ANAKANA UKWELI HUU AJE HAPA APINGE,USHAHIDI TUNAO.

Jf jukwa huru la kujadili mambo yote sio ya ccm,cuf na TLP tu bali hata ya chadema ni muhimu kuyajadili katika usawa.

barua tunaisubili. Ilikuwa inaskaniwa tangu jana. Mimi binafsi sitaki kuamini kwa sababu najua utaratibu wa fedha upo na unafuatwa.
 
NASISITIZA HII LEO TAR.8/8/2012 WABUNGE WA CHADEMA BAADHI WAMEGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WALEO UNAOFANYIKA MAENEO YA IFAKARA SABABBU IKIWA NI HII HII YA KUIBIWA FEDHA ZAO

Chambio unatumika mara nyingine bila aibu. Utakapo tupwa na wanaokuchambia usisite kutuambia

IKUMBUKWE WAZI KWAMBA FEDHA ZOTE ANAZO DAIWA DR.SLAA HAZIKUPITIA UTARATIBU HUSIKA WA CHAMA WA KUKOPESHA WAFANYAKAZI WAKE, NI MWAVULI WA UKATIBU MKUU NDIO ULIOPELEKEA KUCHUKUA MAAMUZI YA KUWAFORCE KURUGENZI YA FEDHA KUMKOPESHA FEDHA HIZO.Barua ya kuwafukuza wafanyakaiz kadhaa wanaompinga ndnai ya chama ipo na inascaniwa iletwe hapa,

Ilete tu lakini huwezi affect taratibu za chama ambazo wewe toka kwenu ulikotoka hukufundwa kuheshimu taratibu za aina zo zote zinazohusu mahusiano ya kijamii hata ya kifamilia kwa sababu ya kuchumia tumbo.

NAOMBA KAMA DR.SLAA ANAKANA UKWELI HUU AJE HAPA APINGE,USHAHIDI TUNAO.

Unamuomba mtu kwa jina lake wakati wewe hilo siyo jina lako, jitambulishe kwa jina lako halafu wasiliana na Dr. Slaa. Mantiki ya kutuletea hapa haikupi jibu unalotaka zaidi ya mshiko kwa wanaokutumia

Jf jukwa huru la kujadili mambo yote sio ya ccm,cuf na TLP tu bali hata ya chadema ni muhimu kuyajadili katika usawa

Kwa ufinyu wa fikra zako ni sawa uelewa wako kuwa JF kunajadiliwa ""mambo" hasa ya watu" tofauti na wengine wanaojadili "masuala hususan ya nchi"

Nimechangia kwa sababu tu unakera
Ahsante Mkuu mibaba!! kidogo nipasuke kwa hasira kwa watu wanaotumika kama magogo ya msalani!!
 
Aise kama ndo CDM inaaminika hivi hata kwa madudu wanayoyafanya viongozi wake, basi watanzania tumelishwa sumu mbaya sana na CDM. Hivi ni kweli baadhi yetu tumeamua kuiona CDM ni malaika ambao hawakosei! Ni kweli Dr anadaiwa na chama na kwa taarifa yenu wabishi, hivi juzi tu baadhi ya wabunge walidhamiria kugomea kuendelea kuchangia chama kwa masharti kuwa Dr Slaa arudishe deni la chama kwanza. Mengi wabishi wa CDM mtayashuhudia saaaaaaaaaaana tu. Badala ya kukubali mapungufu ya viongozi wetu wa CDM na kuyachukua kama changamoto na kushauri ili chama kiimarike, mnakaa kubishabisha tu.

You are too junior to discuss this issue. "viongozi wetu" wewe na nani wewe Gamba usituzuge hapa!!
 
Acha majungu wewe !!!!!!!!!mwanzisha thready wakati tunawaza kusonga mbele kumwondoa mkoloni ccm wewe unaleta jungu ni nani aliyekutuma kupeleleza wadaiwa wa chadema. Kumbuka kila mtu ana haki ya kukopa kokote anakokujua.
Wewe ulitaka akope CCM?Achaaaaaaaaaaaa usimchafue Raisi tunayemsubiri kuwapisha 2016.JE WEWE UNAONA 140M NI PESA NYINGI KUANDIKA HAPA WAKATI CHENGE ANAITA 1B KUWA VIJISENTI??????????????



.....Tuntemeke watakubeza sana lkn huu ndo ukweli wenyewe,watu wengine wanakalia people power hawajui kinachoendelea wanakalia ushabiki wa kijinga,kama si kweli ajitokeze huyo aliyezuiwa kufunga ndoa akanushe
 
Tuntemeke acha usengenyaji...kwani kama kukopa ni kosa kisheria , si uchukue hatua ilhali ushahidi unao na huwa unajitambulisha kuwa wewe ni mwanachadema.
 
Tuchange aisee twende vodacom tuombe itumwe sms kwa sh 500 then 100 iende kulipa
 
dah kuna watu wa ajabu sana,yaani huyu babu hakosei walibisha hajachukua mke wa mtu,lakini baadae ukweli wakauona.Sasa wanabisha hajakopa hela za chama.Mnatakiwa kufatilia je kweli wabunge wenu wamegoma ama la.Je ni kweli amechukua pesa za chama ama la.Lakini ajabu ni kubisha tu.Huyu babu ukweli si muadilifu kama wengi wanaamini.Ikiwa mtu ambaye ashawahi kuwa kiongozi wa dini na akaweza kuzini na mke wa mtu na kuzaa nae,kwenye pesa kwake ni rahisi zaidi.Mtu anaye simama jukwaani na akawatangazia watz kwamba huyu ni mke wangu,wakati si kweli huyu mtu ni hatari na ni mtu ambaye yupo mbali na ukweli.Ajabu wapo watu wanaomuamini kiasi hawataki kuhoji.Pengine nashawishika kuamini ule mfumo wa dini wa kukubali bila kuhoji ndo hata ktk chama chao pia unatumika.
 
Aise kama ndo CDM inaaminika hivi hata kwa madudu wanayoyafanya viongozi wake, basi watanzania tumelishwa sumu mbaya sana na CDM. Hivi ni kweli baadhi yetu tumeamua kuiona CDM ni malaika ambao hawakosei! Ni kweli Dr anadaiwa na chama na kwa taarifa yenu wabishi, hivi juzi tu baadhi ya wabunge walidhamiria kugomea kuendelea kuchangia chama kwa masharti kuwa Dr Slaa arudishe deni la chama kwanza. Mengi wabishi wa CDM mtayashuhudia saaaaaaaaaaana tu. Badala ya kukubali mapungufu ya viongozi wetu wa CDM na kuyachukua kama changamoto na kushauri ili chama kiimarike, mnakaa kubishabisha tu.

Unajua kuna watu wameigeuza Chadema kuwa dini na hustahili kuhoji mabo ya kiimani, na ndiyo maana Kibwetere aliua wafuasi wake. Tetesi za wabunge kugomea kutoa michango zilitoka kwa wabunge hao hao lakini kwa vile kuna watu waliwapa uungu viongozi wao, habari hizi ni mwiba mchungu na hawako tayari kuzisikia. Sasa hali ndo hiyo, jamaa kasepa na fuba hilo na sasa chama hakijui kifanyeje.

Viongozi wa aina hii hawana tofauti na Lowassa maana wote wanatumia vyeo, ambavyo ni dhamana, kwa manufaa yao. Halafu humu watu bila aibu wanawachekea na kuwashabikia! Kweli tumerogwa!
 
Hakuna mtu asikuwa na deni, nchi yenyewe inadaiwa, na wewe hujalipa deni lako, lipa kwanza ndipo ulete hii thread.
 
Kweli huyu tuntemeke ana wivu wa kike, anataka nae amilikishwe nyumba njoo nikumiliki na nyumba nakupa

Matusi haya ni ushahidi kwamba hoja ya Tuntemeke imegonga vichwa na sasa uanashambuliwa mtu na siyo ujumbe! Tunaomba maelezo ya kutosha kuhusu hili maana fedha zilizotafunwa ni za walipa kodi wa Tanzania.
 
Wana Jf sio kwamba nawaondolea imani na Dr.slaa ndani ya chama,bali huu ni ukweli kabisa kwamba Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo.

Mchanganuo wa deni hili ni kama ifuatavyo...

1.Dr.slaa alikopa fedha kiasi cha tsh.Million 80 kwaajili ya kumalizia malipo ya deni la nyumba ya NSSF aliyokopeshwa maeneo ya bunju....Fedha hizi zilikopeshwa tangu mwaka juzi.Ilihali nyumba ile ya bunju na Karatu zilizojengwa na Dr.slaa zinamilikiwa na Bi.Josephine Mshumbusi hii nikwamujibu wa hati ya nyumba kama inavyosomeka kwenye wamiliki wa nyumba za NSSF .

2.Pili alichukua pesa million 40 za chama zilizotengwa kwaajili ya uchaguzi mwaka 2015 fedha hizo ni zile zilizokuwa zikichangiwa na wabunge wa chadema kila mwezi kama walivyokubalina na kamati kuu mapema baada ya uchaguzi(kwenye kikao cha evaluation ya uchaguzi mwaka 2010).sakata hili limepelekea baadhi ya wabunge kugoma kuendelea kuchangia mfuko wa chama na hivi majuzi huko bungeni dodoma kwenye vikao vya chama vya ndani wabunge walisimamia kidete swala hili la kumtaka Dr.slaa alipe deni hilo ili arejeshe imani kwa wabunge kuendelea kuchangia.
Fedha hizo, Dr.slaa alizielekeza kwenda kununulia samani za ndani za nyumbani kwake.Fedha hizi hazikupitia taratibu halali za kukopeshwa kwa sababu alijikopesha ruzuku ya chama (kitu ambacho ni illigeal kwenye katiba ya chama ruzuku)

4.Mnamo Tar:20 mwezi wa 1 mwaka huu Dr.slaa alifika makao makuu na kuomba kukopeshwa kiasi cha tsh.Million 20 za haraka huku akiwa ameambatana na Josephine mshumbusi.Aliwalazimu wahazini kwenda kuchota fedha kwenye account ya chama siku hiyohiyofedha zile alikabidhiwa Josephine mshumbusi ambaye alizichenji kwenda dola na kuziingiza kwenye account yake(jina tunalihifadhi la account)


SAKATA HILI LA DENI LA DR.SLAA limechukua sula tofauti kabisa kwa mwenyekiti wa chama Mh.Freeman Aikael Mbowe ambaye amemtaka Dr.slaa kurejeshaa deni hilo mapema iwezekanavyo..kwa sababu deni hilo limeshaanza kuwagawa wabunge ndani ya chama.Kwa hatua za awali Mwenyekiti wa chama ameamua kukabidhi madaraka ya mapato na matumizi kwa Lema ilikuajaribu kukinusuru chama.

NASISITIZA HII LEO TAR.8/8/2012 WABUNGE WA CHADEMA BAADHI WAMEGOMA KWENDA KWENYE MKUTANO WALEO UNAOFANYIKA MAENEO YA IFAKARA SABABBU IKIWA NI HII HII YA KUIBIWA FEDHA ZAO

IKUMBUKWE WAZI KWAMBA FEDHA ZOTE ANAZO DAIWA DR.SLAA HAZIKUPITIA UTARATIBU HUSIKA WA CHAMA WA KUKOPESHA WAFANYAKAZI WAKE, NI MWAVULI WA UKATIBU MKUU NDIO ULIOPELEKEA KUCHUKUA MAAMUZI YA KUWAFORCE KURUGENZI YA FEDHA KUMKOPESHA FEDHA HIZO.Barua ya kuwafukuza wafanyakaiz kadhaa wanaompinga ndnai ya chama ipo na inascaniwa iletwe hapa,

NAOMBA KAMA DR.SLAA ANAKANA UKWELI HUU AJE HAPA APINGE,USHAHIDI TUNAO.

Jf jukwa huru la kujadili mambo yote sio ya ccm,cuf na TLP tu bali hata ya chadema ni muhimu kuyajadili katika usawa.

Duh Bongo kila mtu Tapeli
 
Back
Top Bottom