Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Jaribuni kumfukuza sasa!!!! wakina Nape na Mukama si walikuwa wanamuita Fisadi atakisambaratisha hicho chama mpaka historia yake ifutike kwenye hii dunia. yule ndiye mtume wa siasa za CCMahaha haaaaaaa kama ni mwamba kwenu CCM ngoma nzito uliza uambiwe
Chama
Gongo la mboto DSM