Dk Slaa: Kwanini sikumsalimia JK

Dk Slaa: Kwanini sikumsalimia JK

huu ni upuuzi, sidhani kama dr (wa ukweli) anawajibika kujibu kitu hapa.
 
Kwa nini isiwe Jk alikwepa kumsalimia Dr Slaa na iwe kinyume chake? Kama Kikwete alikuwa na hamu ya kupiga picha na Dr Slaa, kama mkuu wa nchi si angewaelekeza hivyo watu wa usalama wa Taifa. Habari hii ina mkono wa mtu au ina malengo ya kisiasa yaliyojificha.

Kama aliweza kumtafuta 50 cent na kupiga nae picha alishindwa nini kumfuata Dr. Slaa na kupiga nae picha?

Hili liko wazi kwamba magazeti yameifanya hii kitu kuwa habari kubwa ili wauze magazeti yao lakini pia kuna mashabiki wa raisi ambao wanatafuta pa kusemea. Sidhani kama kikwete anaweza kuwa analala na kuwaza ni lini atapeana mkono na Dr. Slaa, ana mambo mengi sana ya kufanya na muhimu kwa nchi hii, sijui hili la kusalimiana na Dr. Slaa litamsaidia nini raisi ktk kuboresha huduma za kijamii kwa wananchi wake.
 
dawa ya kiburi ni jeuri, huyo jk ni mtu mwenye madharau sana sasa kuna haja gani kupeana mikono na mtu waaina hiyo? Dk slaa sio mnafiki ameonyesha hisia zake waziwazi na huo ndio msimamo wa kiukweli huyo jk anacheka huku anafundo moyoni huo ni unafki kabisa . Ongera dk wa ukweli sio huo wa kuomba na ndio maana anashindwa kufanya hata maamuzi ambayo hayahitaji kutafakari kwa muda mrefu
mkuu rais kikwete hana dharau ni kweli kuna mambo simkubali lakini at least sio jeuri,tukumbuke kuwa alimpa heshima kubwa mpiganaji wetu kwa kushiriki kumzika na niliona sura yake kuwa sincere na hakuwa na uso wa bashasha kama ilivyo ada yake.
pia maneno aliyoyatoa madm spika juu ya regia yalikuwa mazuri sana na yenye upendo mwingi sana.jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni
 
hivi kuna gazeti lililopendwa kama rai nguvu ya hoja?lakini kwa upuuzi kama huu limeangukia pabaya sana.
 
Nilishasema kuwa hawa jamaa huwa ni makanjanja tu kwani wakati wanaandika ilotangulia kwanini hawakumuuliza Slaa hadi wamuulize baadaye? Kweli Slaa ni Celeb wa Bongo, lengo la waandishi ni kumuandika magazetini ili wauze!!!!!
 
hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje zk, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu ws, katibu mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya zk kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa mh ws.........!!!??? Anachotuaminisha ws ni kwamba usalama walichakachua haki yake???

nadhani cdm walijipangia majukumu, siku salamu za chama ziliposomwa karimjee dr. Slaa alikuwa na m/kiti na pale kuingani ifakara zito ndio aliyekuwa mtoa salaam wa chama hivyo ni wazi katibu mkuu ali deleigate majukumu kwa msaidizi wake.
Logic ingine , dsm ni dirisha la kimataifa na ni uwanja sahihi wa general secretary kutamba, ifakara ni dirisha la kitaifa hivyo msaidizi anayo fursa ya kutamba kimedani na kujipa makuzi ya kisiasa. Kwa hili cdm wako smart na sidhani serikali kama ilikuwa na pingamizi na hilo
 
ni kweli mkuu rais ndie angetakiwa amfuate dr. kumsalimia lakini halazimishwi naye pia anaongozwa na wanausalama na si kweli kuwa rais anatapatapa kutaka kusalimiwa na dr.haya ni maneno tu ya wazushi ambao wanataka kumbambikia maneno rais wetu.ukweli ni kwamba kuna uwezekano hata rais hakumuona dr. kwa jinsi jiografia ilivyokuwa. rais wetu alionyesha heshima kubwa kwa kuja kumzika kamanda regia.kule tabata slaa na zito hawakuwepo alipofika kikwete walikuwa makao makuu wakiratibu mipango kwa upande wa chama

nakubaliana na wewe kabisa kihoja....ila huyu Hojatete huyu.....wewe umemwelewa?
 
Hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje ZK, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu WS, Katibu Mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya ZK kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa Mh WS.........!!!??? anachotuaminisha WS ni kwamba usalama walichakachua haki yake???
Si umemwelewa Dr alicho kieleza utaratibu wa kukaa unapangwa na usalama wa taifa, kuwa mbali au karibu na Raisi wapangaji walilijua hilo, jibu linajitoshereza!!! Ahsante Dr Slaa kwa jibu zuri!!!
 
Lengo la jk kushiriki mazishi lilikua ni kusalimiana na kushikana mkono na dr slaa? Yaelekea kamera ziliwekwa tayaritayari kuchukua picha hiyo ya dr kumshika mkono jk ambapo km wangefanikiwa wangetengeneza mabango waweke picha hy wayasambaze nchi nzima.
 
Dr Slaa, msibana uwa hana muda wa kuongea na mtu yoyote ata ukiwa pembeni yake!
 
J. M. Kikwete hakumsalimia Dr.Slaa.Kwa nini mh rais wa JMT siku ya maombolezo ya kifo cha Mb.Regia hakumsalimia Slaa au ni sababu za kisiasa?
 
watanzania tunaleta siasa hadi ktk misiba?

Hili jambo alileta Pasco siku moja baada ya mazishi nikadhani ni mzaha halitakuzwa kivile,kumbe watu wamelivalia njuga na kulifanya ndio vya kuuza habari ktk magazeti

Jamani tuache siasa hata ktk mambo yasiyo hitaji siasa

Hongera Dr Slaa kwa kuwaeleza ukweli kuwa msibani sio mahali pa kupiga siasa
 
Kama kikwete ana vizia misiba ili ajisafishe au alete uchawi wake amekwama.Huwezi kuwapiga watu mabomu,kuiba kura na kuwabambikia kesi arafu upewe mkono wa nini.mkono ni ishara ya kutakiana amani sasa kikwete kweli ana amani na slaa?

Tumuache mzee wawatu afanye mambo ya maana ya kulikomboa taifa,tuachane na gazeti la mwananchi limeharibika tayari na ukanjanja wake

Ndaga fiyo Mkuu, senkis veremachi Mkuu, Asante sana Mkuu.:lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
ni kweli mkuu rais ndie angetakiwa amfuate dr. kumsalimia lakini halazimishwi naye pia anaongozwa na wanausalama na si kweli kuwa rais anatapatapa kutaka kusalimiwa na dr.haya ni maneno tu ya wazushi ambao wanataka kumbambikia maneno rais wetu.ukweli ni kwamba kuna uwezekano hata rais hakumuona dr. kwa jinsi jiografia ilivyokuwa. rais wetu alionyesha heshima kubwa kwa kuja kumzika kamanda regia.kule tabata slaa na zito hawakuwepo alipofika kikwete walikuwa makao makuu wakiratibu mipango kwa upande wa chama

Naomba nitofautiane na wewe Mkuu, kwamba JK ndiye mwenye kuyumbisha vichwa vyetu humu, laiti kama angeliujua umarufu wa Dr. Slaa hapa nchini angewaagiza watu wa uslama wa taifa wamwamuru Dr. Slaa aende kumsalimia. Lakini kwa sababu JK aliamua kutomsalimia Dr. Slaa matokeo yake ameyatengenezea magazeti biashara, Jamani umarufu wa Dr. Slaa hapa nchini we achatu.
 
Ina maana kuna watu wanadhani Dr Slaa ana akili zinazofanana na huyu Pimbi?
Kikwete-right-greets-Maswa-West-MP-John-Shibuda.jpg
 
Back
Top Bottom