Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
huyu mzee anatapatapa.kwa kweli me namheshimu dr slaa kwa uzee wake,taaluma na busara alizonazo LAKINI naomba kumuuliza maswali machache.
.
1.kwanini alikwepa kwenda ikulu pamoja na timu ya chama kumuona rais abt katiba.
Kwa nini unadhani ilikuwa LAZIMA aende? isitoshe, kwenda ikulu ni kwa mwaliko. Una UHAKIKA kuwa alikuwa na mwaliko?
2.kwanini pale tabata nyumbani kwa kina Rejia alimkwepa rais alipoenda kutoa pole.
Again, kwa nini unadhani alimkwepa? do you think seriously kuwa kila mwananchi anaweza kusalimiana na Raisi anavotaka? Ni nani wanaoratibu watu wa kuslimiana na Rais kwenye shughuli kama hizo? Kwa nini Rais asimsalimie Dk, Slaa ambaye nduye aliyefiwa 'zaidi'? Ukienda msibani, mwenye msiba anakuja kukusalimia au wewe ndo unamfata aliyefiwa kumsalimia?
3.kwanini alimkwepa rais pale ifakara?watanzania sio wajinga.huu utetezi alioutoa hapa ni wa kitoto, si wa katibu mkuu wa chadema
Soma no 2 hapo juu...the same story
4.atuthibitishie ni kweli kabisa hana chuki ya asili?
Chuki ya asili ni ipi an isiyo asili ni ipi hapa?
5.kwanini ana ng'ang'ania hata vitu visivyo na maana,kwanini hapendi kukosolewa na hapendi yaishe tusonge mbele.
NTASHUKURU DR KUPATA MAJIBU MAZURI.NAKUTAKIA AFYA NJEMA
Sidhani kama kuna kitu ameng'ang'ania.If anything, he has given his best for the benefit of this country., wanaong'ang'ania ndo hao wanaotapatapa kutaka kusalimiwa misibani!