Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,661
- 948
Nimependa sana penye red, Dr. Slaa hatimaye anatambua JK ni rais wa tz
Umetoa hewa ya uvundo kwa kufikili kwa masburi yako, kama ungekuwa unafikili kwa kutumia kichwa ungejua kuwa Dr. Slaa analazimishwa kumtambua Rais aliyechaguliwa na tume ya uchaguzi kwa mjibu wa katiba inayoturazimisha kufanya hivyo. Kama si kufikili kwa kutumia masaburi yako ungejua kabisa kwamba Dr. Slaa asipomtambua JK kuwa Rais ni Kesi ya Uhaini.