Dk Slaa: Kwanini sikumsalimia JK

Dk Slaa: Kwanini sikumsalimia JK

angalia post za nyuma gazeti mwananchi liliwekwa miongoni mwa magazeti makini kisa liliwabeba magwanda,lakini sasa laitwa la udaku,kisa linaweka ukweli juu padiri slaa kumkwepa JK.kusema kwenu eti la udaku hakulifanyi kuwa la udaku.Mlisema Jk sio rais,kauli zenu zimemfanya kutokuwa rais? kelele za mlango.......
 
Spika mama makinda alisema magazeti ya tanzania ni hovyo tusome alafu tusichukulie uzito walichoandika watu wakampinga sana, hawa waandishi wa habari sasa wamekuwa kama wacheza movie wa bongo editing mbovu, mwisho wa picha haueleweki n.k.
 
hivi ni lazima kusalimiana?? mbona sioni sehemu ikisema JK hakumsalimia Slaa??

Upuuzi wa Mtanzania wa leo, inflation juu, sie tuko bize kuangalia nani kamsalimia nani

wapumbavu katika upumbavu wao.
 
Zitto ni mbunge na aliyefariki ni mbunge hivyo alipangwa kukaa banda la bunge na spika,naibu na mbowe ambao wote ni wabunge pia.....Dr sio mbunge...fuatilia maelezo ya Dr vizuri....hicho kiti kitupu pembeni ya Zitto kiko wapi?

attachment.php

hii picha haikupigwa makaburini bali uwanjani ambako regia aliagwa na kufanyika misa ya kumuombea na hilo hema liliwekwa maalumu kwa wabunge na watumishi wa bunge.dr. slaa na viongozi wengine walikuwa hema lililotazamana na hilo.aidha rais kikwete hakuja uwanjani bali alikuja makaburini. kiti kilicho wazi ni cha spika kwani picha hii ilipigwa wakati madam spika alipotoa salamu za rambi rambi.
 
Mhariri wa Mwananchi aitwae Dennis Msaki ni swahiba mkubwa wa Zitto Kabwe so udaku kama huu si ajabu kuandikwa na Mwananchi

sasa hapo mbunge wetu kahusikaje? Inaonesha Chuki yako kwa Zitto ni Kubwa sana kiasi kwamba uwepo wake hapa Dunian ndo kero yako kubwa sana kwa sasa!,
 
Kwani nani kasema Rais Kikwete anataka kukuyana na Dr Slaa? Kama hataki mnamlazimsha au Slaa alazimishe?
 
Kaka bado unayo tu?
Ah tusifike huko bana, ngoja kwanza na hii isogezesogeze page kama ile yako afu tutaitupia panapobidi.
Ili kuilinda hadhi ya jukwaa la siasa mimi nasubiri ihamishiwe panapostahili ndipo nichangie na kama itaendelea kubaki hapa nami nitadai haki yangu, haki hauletewi kwenye kisahani cha chai, haki inadaiwa,
inagombewa, inapiganiwa na sometimes mpaka damu inamwagika ndipo ipatikane!.
 
Huko nyuma Gazeti la Mwananchi nilikuwa naliheshimu kwa kuamini kwamba linaandika habari na Makala zenye uchunguzi wa kina.
Lakini sasa nimeshaliacha kabisa maana limejaa HABARI ZA UDAKU sawa tu na magazeti mengine ya UDAKU kama kina Uwazi na mengineyo.

Badala ya kuandika habari za msiba wa Mhe.mbunge aliyetutoka wanageuza kuwa ni Siasa za kupakana matope. Maana ukiiangalia hii habari kwa undani ina lengo la kumchafua Dr. Slaa kuwa ana kinyongo na Kikwete na kwa maana hiyo hafai kuwa Rais wa Taifa hili which is absolutely not true at all.

Tuwaulize hao wahariri na waandishi wa Mwananchi walikuwa wapi siku zote kuandika kuhusu kukutana au kutokutana kwa Dr. Slaa na Kiwete mpaka wanasubiri siku ya msiba wa Mbunge wetu ndo wana anzisha umbeya wao? Tunataka IGP Mwema na askari wake wa Inteligensia wakamate Mhariri na Mwandishi wa habari hiyo wawekwe ndani na kufunguliwa mashtaka maana HABARI HIZI NI ZA KICHOCHEZI!!!
Pambaf!
 
Hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje ZK, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu WS, Katibu Mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya ZK kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa Mh WS.........!!!??? anachotuaminisha WS ni kwamba usalama walichakachua haki yake???

acha unafiki, dr slaa siyo mtu wa kujikweza, isitoshe pale ni msibani, hayo mengine muwaachie mwananchi wanajua malengo ya wao kuandika hivyo
 
huyu mzee anatapatapa.kwa kweli me namheshimu dr slaa kwa uzee wake,taaluma na busara alizonazo LAKINI naomba kumuuliza maswali machache.
1.kwanini alikwepa kwenda ikulu pamoja na timu ya chama kumuona rais abt katiba.
2.kwanini pale tabata nyumbani kwa kina Rejia alimkwepa rais alipoenda kutoa pole.
3.kwanini alimkwepa rais pale ifakara?watanzania sio wajinga.huu utetezi alioutoa hapa ni wa kitoto, si wa katibu mkuu wa chadema
4.atuthibitishie ni kweli kabisa hana chuki ya asili?
5.kwanini ana ng'ang'ania hata vitu visivyo na maana,kwanini hapendi kukosolewa na hapendi yaishe tusonge mbele.
NTASHUKURU DR KUPATA MAJIBU MAZURI.NAKUTAKIA AFYA NJEMA.
 
hii picha haikupigwa makaburini bali uwanjani ambako regia aliagwa na kufanyika misa ya kumuombea na hilo hema liliwekwa maalumu kwa wabunge na watumishi wa bunge.dr. slaa na viongozi wengine walikuwa hema lililotazamana na hilo.aidha rais kikwete hakuja uwanjani bali alikuja makaburini. kiti kilicho wazi ni cha spika kwani picha hii ilipigwa wakati madam spika alipotoa salamu za rambi rambi.

umesema kila kitu na kumaliza umbea wote hasa kwa wale wanaotaka kuharibu jina la dr slaa
 
Babu anapenda sana kuwatajataja usalama wa taifa au ni mwenzao nini.naanza kupata hofu apa.hebu pia anifafanulie hili.
 
Hojatete kama Kikwete kaagiza kuwa Slaa asimsogelee umbali wa mita ishurini na vyombo vyote vya usalama vinaja hilo Slaa afanye nini? Angeingia ikulu vipi au angeanza vipi kumsogelea rais bila watu wa usalama kumdaka? Vipi kama Kikwete hataki kukutana dr. Slaa?
 
hakuna anaye taka mikono iliyojaa dhuluma ya walala hoi.
 
Mbona Dr. Slaaa anasisitiza kwamba msibani si mahali pa kutengeneza mambo yaliyoharibika? Hivi kusalimiana na mtu ni kutengeneza mambo yaliyoharibika? Nadhani Dr. Slaaa ana siri nzito moyoni.

Hivi ni kweli kabisa kwamba Dr. Slaaa akiwa msibani hamwangalii aliye pembeni yake?

Siyo kila mfano lazima uwe halisi kaka lol...mbona mnakuwa wazito sana kuelewa?
 
Hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje ZK, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu WS, Katibu Mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya ZK kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa Mh WS.........!!!??? anachotuaminisha WS ni kwamba usalama walichakachua haki yake???
acha kuwa mzito wa kuelewa wewe. Ameshasema kwamba Mheshimiwa Mbowe na Zito walipewa kiti cha karibu na rais kwa kuwa ni viongozi wa kambi ya upinzani bungeni, sasa Slaa ni nani bungeni?
 
Hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje ZK, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu WS, Katibu Mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya ZK kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa Mh WS.........!!!??? anachotuaminisha WS ni kwamba usalama walichakachua haki yake???

Ameeleza vizuri sana, ZK alikaa pale kama Naibu kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni na si kama naibu katibu wa chama.
 
sasa hapo mbunge wetu kahusikaje? Inaonesha Chuki yako kwa Zitto ni Kubwa sana kiasi kwamba uwepo wake hapa Dunian ndo kero yako kubwa sana kwa sasa!,
kweli mkuu hapo zito hahusiki. ni kweli mimi zito huwa kuna mambo huwa simwelewi sana lakini mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake.
 
Hii protokali ya hapa nayo ni kizungumkuti, iweje ZK, naibu katibu mkuu akae kwenye zulia halafu WS, Katibu Mkuu akae nje ya zulia, besides kushoto ya ZK kulikua na kiti ambacho kilionekana kuwa wazi ikimaanisha kabisa kwamba kilikua kimetengewa Mh WS.........!!!??? anachotuaminisha WS ni kwamba usalama walichakachua haki yake???

Usituletee maswali ya kufikilika humu, kama unaakili zilizo enea swali lako waulize watu wa usalama wa taifa waliokuwepo kwanye msiba. Tatizo lako akili zako zina shombo ya Magamba ya ccm.:embarassed2:
 
Back
Top Bottom