Yeye ndo anakosa usingizi kwa jinsi anavyoiona ikulu ikimpitia mbaliDr. Anawanyima sana usingizi!
Ambacho hukuelewa nini? au je UONGO huko wapi?
Kwani hawa Dr. W. Slaa na Kinana wako SIZE moja?.
Au unadanganywa na wote kuwa makatibu wa Vyama vya siasa!.
Soma katikati ya maneno ya Dr. Slaa utapata majibu kama huwezi kutumia macho yako vizuri!.
Babu anazidi kuzeeka vibaya na kila siku anazidi kupoteza kumbukumbu
..nilicheka sana huku nikijiuliza kuwa, slaa ana cv na uwezo gani kumshinda kinana?
Lumumba Project mmejazana,
Well, kwa nini msiwe mnajenga hoja vizuri, kwa kuandika kinachoeleweka?
mnaandika kama mnakimbizwa? poleni
Walioelewa wanachangia ila wewe mwenye akili za bavicha ndo umebaki gizaniLumumba Project mmejazana, Well, kwa nini msiwe mnajenga hoja vizuri, kwa kuandika kinachoeleweka? mnaandika kama mnakimbizwa? poleni
tarehe mosi juni,2013, dk slaa alihutubia umma mjini morogoro. Aliongea mengi sana ambapo alitumia ada ya kalamu yake kuungopea umma mjini hapo. Slaa alisikika akisema kuwa "siwezi kumzungumzia kinana kwani siyo size yangu
.nilicheka sana huku nikijiuliza kuwa, slaa ana cv na uwezo gani kumshinda kinana?. Zaidi ya slaa kuwa padri na katibu wa baraza la maaskofu, mbunge na sasa ni kattibu wa chadema saccos nini kingine?"
.
Mliberali, uwe unatulia wakati unaandika siyo kukaa unakatikakatika ovyo...Walioelewa wanachangia ila wewe mwenye akili za bavicha ndo umebaki gizani
Hivi Dr Slaa nae ana size yake ndani ya CCM? labda ajifananishe na wapora wake za watu huko na aachane kabisa na makada wa CCM.
Wajinga sana hawa jamaa sasa alichoongopa ni nini? mods nao wanalala, poa tu tunasonga!Walioelewa wanachangia ila wewe mwenye akili za bavicha ndo umebaki gizani
meno ya tembo!tarehe mosi juni,2013, dk slaa alihutubia umma mjini morogoro. Aliongea mengi sana ambapo alitumia ada ya kalamu yake kuungopea umma mjini hapo. Slaa alisikika akisema kuwa "siwezi kumzungumzia kinana kwani siyo size yangu
.nilicheka sana huku nikijiuliza kuwa, slaa ana cv na uwezo gani kumshinda kinana?. Zaidi ya slaa kuwa padri na katibu wa baraza la maaskofu, mbunge na sasa ni kattibu wa chadema saccos nini kingine?"
.