FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,188
Waswahili husema "mfamaji haishi kutapatapa". Chadema ipo katika "ulevi" wa kifo.
Hakuna kitu kibaya kama sikio la kufa. Halisikii.
Chadema baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi dhidi ya matarajio yao, na kwa kuwa wameshaonja kifo cha kushindwa, hivi sasa wanafanya kila hila na mbinu kwa kuwa they have nothing more to lose, kama kushindwa wameshashindwa. Iliobaki ndio haya tunayoyaona, kila jema na zuri la JK kwao kosa.
Na natumai wa Tanzania wengi wameshawashtukia mbinu yao "suicidal". Wapo tayari wafe, watu wauwane, lakini JK hapana asiwe madarakani! Wanajuwa fika kuwa wanawaweka wananchi katika hali ngumu kwa maandamano yao ya kila siku.
Nawaasa CCM, waacheni waaandamane mpaka waseme basi. Mradi wasitukane na kusema uongo kama walivyozowea.
Hakuna kitu kibaya kama sikio la kufa. Halisikii.
Chadema baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi dhidi ya matarajio yao, na kwa kuwa wameshaonja kifo cha kushindwa, hivi sasa wanafanya kila hila na mbinu kwa kuwa they have nothing more to lose, kama kushindwa wameshashindwa. Iliobaki ndio haya tunayoyaona, kila jema na zuri la JK kwao kosa.
Na natumai wa Tanzania wengi wameshawashtukia mbinu yao "suicidal". Wapo tayari wafe, watu wauwane, lakini JK hapana asiwe madarakani! Wanajuwa fika kuwa wanawaweka wananchi katika hali ngumu kwa maandamano yao ya kila siku.
Nawaasa CCM, waacheni waaandamane mpaka waseme basi. Mradi wasitukane na kusema uongo kama walivyozowea.