Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,333
Hahahahahaa! Punguza ukali wa nenoz! Sema amekuwa "Mkurugenzi mtendaji" wa duka!Kwa kiswahili fasaha, Dr.Slaa ameajiriwa kuuza duka la mtu huko Canada. Ni muuza duka.
Hongera Dr.Slaa.
Hahahahahaa! Punguza ukali wa nenoz! Sema amekuwa "Mkurugenzi mtendaji" wa duka!Kwa kiswahili fasaha, Dr.Slaa ameajiriwa kuuza duka la mtu huko Canada. Ni muuza duka.
Hongera Dr.Slaa.
Ha ha ha haaaaa... Wamemtumia halafu wakamsomesha namba!Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
50bilion! Nani ampe hizo hela?50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
Thibitisha kauli yako kakaAcha ale mafao yake....amepumzika kwa pesa ya kuuza utu wake....sasa pesa zimepungua lazima ale kwa jasho.....!! Mnafiki San huyo babu...acha tu ameuza utu wake kw pesa
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Mkuu yule demu alie nae sio mchezo anakamua balaa kumbuka ndo alikua mganga wa marehemu kanumba enzi hizo50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
Kalaghabahooooo!!!! Unafikiri anapenda kwenda kuosha vyombo na uzima ule ulaya...ulaya.. . Hapendi apumzike na kucheza wajukuu umri huu?? Unafikiri kijana yule eti anatafuta maisha ulaya??? Jiongezee kidogo tu....ni unafiki ule unamfanya awe kama popo sasaa!!!!Thibitisha kauli yako kaka
Andika kilicho cha ukweli! Cocomtaro!Acha uongo.
Unajua ni daktari wa nini?....... Muulize ff!!Daktari ni msomi na alikuwa katibu mkuu wa chadema.
Naomba kujuzwa. .. Huko canada yuko kama mkimbizi au anasoma..??kama ni mkimbizi ni makosa gani kayafanya na kama anasoma kwa nini asipewe mkopo..
He will never rise againWaswahili tuna msemo wetu wa..'kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani'. Yaani haitakiwi mtu kuchagua kazi, kikubwa kazi husika iwe halali.
Kama kichwa habari kinavyosema kuwa, Dk. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA amepewa ajira ya afisa mauzo wa supermarket huko Canada, je, hii tuite kupanda na kuangakuka kisiasa kwa Dk. Slaa?
View attachment 627742