Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
50bilion! Nani ampe hizo hela?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Habari zenu jukwaani. Dr slaa anafanya kazi supermarket kama ofisa mauzo wa vyombo vya nyumbani huko Canada. Anasema ili uishi huko ni lazima kufanya kazi. Adai hata watumishi wa serikali nchini humo wakitoka kazini huosha vyombo vya majumbani mwa watu kuongeza kipato chao. Source magazetini leo
 
Hivi ni kwa nini anaishi Canada? Kwani alikimbizwa? Mbona wenzake Mrema, Lipumba na Seif wapi nchini hata baada ya mission accomplished?
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem

Acha uongo.
 
Kwa vyovyote vile Dr.Slaa huenda atakuwa ameshinikizwa na mkewe kufanya hiyo kazi. Yule mkewe sio wa mchezo mchezo aisee, sijui kamlisha nini yule mzee?

Na unaweza kushangaa mkewe ametulia zake ndani bila kazi huku akitafuna mkwanja wa jasho la Dr.Slaa bila huruma.

Mshumbusi Mungu anakuona aisee!
 
Thibitisha kauli yako kaka
Kalaghabahooooo!!!! Unafikiri anapenda kwenda kuosha vyombo na uzima ule ulaya...ulaya.. . Hapendi apumzike na kucheza wajukuu umri huu?? Unafikiri kijana yule eti anatafuta maisha ulaya??? Jiongezee kidogo tu....ni unafiki ule unamfanya awe kama popo sasaa!!!!
 
Daktari ni msomi na alikuwa katibu mkuu wa chadema.
Naomba kujuzwa. .. Huko canada yuko kama mkimbizi au anasoma..??kama ni mkimbizi ni makosa gani kayafanya na kama anasoma kwa nini asipewe mkopo..
Unajua ni daktari wa nini?....... Muulize ff!!
 
Waswahili tuna msemo wetu wa..'kazi ni kazi, ilimradi mkono uende kinywani'. Yaani haitakiwi mtu kuchagua kazi, kikubwa kazi husika iwe halali.
Kama kichwa habari kinavyosema kuwa, Dk. Wilbroad Slaa aliyewahi kuwa katibu mkuu wa CHADEMA amepewa ajira ya afisa mauzo wa supermarket huko Canada, je, hii tuite kupanda na kuangakuka kisiasa kwa Dk. Slaa?

View attachment 627742
He will never rise again
 
Back
Top Bottom