Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 847
True bro Kumbuka kuwa kwa nchi Kama canada hawezi fanya kazi moja, utakuta anafanya kazi zaidi ya moja!!! So he makes a lot of moneyNi kweli kabisa, mshahara wake ni mkubwa sana ukilinganisha na mshahara wa mtu wa nafasi kikazi kama yeye kwa nchi za Afrika. Lakini kumbuka kuwa, kule maisha ni a ghali sana. The more you earn the more you're forced to pay.
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app