Dk. Slaa aajiriwa supermarket

Dk. Slaa aajiriwa supermarket

ivi kilichomkimbiza nini mbona mwenzake leprofeseri alibaki
 
Hacha kupotosha uma. Ameajiriwa kama Sales Officer au kwa kiswahili ni Afisa Mauzo.
the Dr!. the shopkeeper???ccm watu wabaya sana yaani wamemdhalilisha huyu mzee huko ughaibuni. walimuahidi kumtumia mzigo wa matumizi kila baada ya miezi mitatu. nasikia siku hizi wamekata huduma rasimi
 
Ni maamuzi yake
Hata wew uliamua kufanya unachofanya Kwa hiari yako mbona hatukushangai?
 
Bora angefundisha Kazi ya sales Kwa umri wake,inachangamoto chini Mara amekwaruzana na mteja kaitwa Kwa bosi ambae ni sawa na mtoto wake.Ule mpango waliotaka kuja kuwekeza nchini mashule na taasisi mbalimbali ungekuwa mzuri sales zinafaa Vijana, maana purukushani ni nyingi.
 
Ila maisha hayakofair kabisa unatumia mda mwingi kusoma then unakuta umfikii aliemaliza darasa La saba ambae alianza ujasiliamali baada ya kufeli shule ana experience ya kutosha kuhusu utafutaji.
 
Hakupata bili 50,aliwekewa kwenye akaunti 2b alivyoenda kuchota akakuta milioni 2!akauliza why akaambiwa aliyeweka 2b anasema alikosea sifuri 3,Dr. alilia sana lakini tayari alishajiuzuru.chezea sisiyem
Ndo kusema alinunuliwa kama wale,arudi kinyumenyume tu kuongeza nguvu.
 
Gazeti la mtanzania limezungumza na Dr slaa ambaye kwa sasa anafanya kazi kama afisa mwandamizi katika supermarket huko nchini Canada! Dr slaa pia kaeleza kuwa ili uishi canada lazima ufanye kazi zaidi ya NNE!

SOURCE: MTANZANIA.
 
50bil ishakata? Angebaki hapa halafu akajenga kiwanda cha hizo bidhaa za majumbani si angefanya exportation mpaka huko Canada kwenye hiyo min supermarket? 50bil si haba hasa kwa MTU wa rika lile.
Unaijua billioni 50 ?
 
Gazeti la mtanzania limezungumza na Dr slaa ambaye kwa sasa anafanya kazi kama afisa mwandamizi katika supermarket huko nchini Canada! Dr slaa pia kaeleza kuwa ili uishi canada lazima ufanye kazi zaidi ya NNE!

SOURCE: MTANZANIA.
Zile bilion 7 zimeshaisha?
 
Kwa vyovyote vile Dr.Slaa huenda atakuwa ameshinikizwa na mkewe kufanya hiyo kazi. Yule mkewe sio wa mchezo mchezo aisee, sijui kamlisha nini yule mzee?

Na unaweza kushangaa mkewe ametulia zake ndani bila kazi huku akitafuna mkwanja wa jasho la Dr.Slaa bila huruma.

Mshumbusi Mungu anakuona aisee!
Ha haha, jamani
 
Hivi mnadhani supermarket Za Canada ni sawa na za Hapa bongo?

Huo mshahara wake wenyewe hata hakuna mfanyakazi wa bongo anaweza ufikia.....
Sio kweli ingia google ni mishahara ya kawaida tu sema wenzetu wananidhamu ya Pesa hakuna kupigana mizinga kila MTU upambana na hali yake kule, hivo wanabaki na saving sio nil kama kwetu.
 
Back
Top Bottom