Dk. Possi: Nimejiuzulu

Dk. Possi: Nimejiuzulu

Acheni kujitoa ufahamu! Kwani mbunge wa jimbo akijiuzulu kipindi kama hiki inakuwaje? Je jimbo lake litabaki wazi hadi 2020?
Mnabadili Id mpate cha kuongea!!? Si tuliwaambia hapa tangu mwanzo mkajifanya wajuaji na matusi juu. Acheni dawa iwaingie na bado. Ngosha baba endelea kuwavuruga mpaka waombe po! Wasomeshe namba maana wao ndo walioziandika.
 
Nafasi za Ubunge Wa Kuteuliwa hazijazwi kwa sababu yeyote ile

Ndo Maana sio lazima ateue zote kumi kwa wakati mmoja .!
 
Nawaeleza kila siku humu ndani. ..acheni ubishi tufanye biashara. .bali wao ni kulalamika na maandishi marefu na points zisizo leta mkate mezani. ...mitusi kibao. ..
Hao wenye biashara wanazifunga.sasa weqe unasema tufanye biashara zipi?wafanyakazi hawana pesa,nani atanunua hizo bidhaa?
 
Hivi Mwakiyembe sikasema Magu hakuvunja katiba?au hawa wawili wana katiba yao pekee yao mbali na hii ya watanzania wote!!!??
 
dr possi ckumwona jana akiapishwa au nae ataapishwa kwa muda wake? make niliona black colour m2p hakuku whte colour! mnavyosema kajiuzur nilidhan kajiuzuru mpaka uambazada!
 
Acheni kujitoa ufahamu! Kwani mbunge wa jimbo akijiuzulu kipindi kama hiki inakuwaje? Je jimbo lake litabaki wazi hadi 2020?



Nafikiri wewe ndiye uliyejitoa ufahamu,Mh.Possi hakujiudhuru kwa hiari,amelazimishwa kujiudhuru,tamko la kujiudhuru kwake limekuja baada ya yeye kuteuliwa kuwa Balozi,na uteuzi wake katika nafasi ya ubalozi(hadi sasa bado hajapangiwa kituo cha kazi)umekuja baada ya Rais kufanya kosa la kikatiba la kuzidisha idadi ya wabunge wa kuteuliwa wa kiume wanaopendekezwa kikatiba.

Ni kosa la kimantiki kuuita uteuzi wa Kabudi na Bulembo kuwa ni uteuzi wa kujaza nafasi zilizoachwa wazi,utajazaje nafasi wakati anayeishikilia nafasi hiyo bado yupo katika wadhifa wake?Kama ni kujaza nafasi,watawala walipaswa kwanza kumuondoa Mh.Possi kabla ya kufanya uteuzi mwingine ndipo waje na hoja ya kujaza nafasi iliyoachwa wazi na Mh.Possi baada ya yeye kuteuliwa kuwa balozi.

Tufike mahari tuutaje Ukweli kwa rangi yake badala ya kuupindisha,Rais akubali amevunja katiba,ajitathmini na ajisahihishe na si kukimbilia kumtoa Possi kafara ili kuharalisha kosa la kikatiba alilolifanya.

Mnaojaribu kuleta utetezi mwepesi,tambueni kuwa Watanzania wote si misukule yenu,tupo tunaojitambua na ambao bado tuna uwezo wa kuyatazama mambo katika uhalisia wake,usijaribu kutulisha matango pori kwa kumtetea mvunja katiba,mwambieni ukweli ili ajisahihishe Taifa lisonge mbele,kuwaona wanaomkumbusha mkuu kuilinda katiba kuwa ni wachochezi ni uthibitisho wa nakisi ya kifikra waliyonayo watawala.
 
hivi huyu jamaa amejiuzulu ubunge sawa lakini kabla ya kujiuzulu wabunge wa kuteuliwa na Raisi, wanaume walikuwa walikuwa wangapi? na kama walikuwa zaidi ya idadi inayotakiwa nani alaumiwe?
 
Mbuzi wa kafara!! Atulie asubiri fadhila!! Asipelekwe Congo tu maana watam gecha.....nkono
 
We usijidanganye huwezi kuwa na viwanda bila biashara (masoko),viwanda lazima vi integrate kilimo nishati etc huwezi kuzungumzia viwanda huku umejifungia ndani the issue inahitaji dimensions nyingi sana labda unazungumzia viwanda vya matofali
Hatuna programu ya uhamasishaji ya viwanda na ndio maana waziri asiyekuwa na PhD ya maganda ya korosho, anakuja na sensa ya viwanda vya kufyatua matofali uchwara yenye ratio ya mfuko mmoja kwa matofali 100.
 
Namalizia tafiti yangu kuhusu miwa, nategemea kutunukiwa PhD ya maganda ya miwa.



Nami nimejichimbia Chato kukamilisha PhD yangu ya magamba ya samaki,huku kuna mialo mingi sana ya samaki na wanapaliwa kwa wingi sana na kuniwezesha kukusanya magamba ya kutosha kwa ajili ya "thesis" yangu ya magamba ya samaki.
 
Hao wenye biashara wanazifunga.sasa weqe unasema tufanye biashara zipi?wafanyakazi hawana pesa,nani atanunua hizo bidhaa?
Kuwa na positive thoughts. .
Acha kubishana. ..watu wanafanya biashara ...majumba yanajengwa.
Hebu tembea uone. .walahi sina haja ya ku kudanganya. ...kuwa na imani. .
 
Mkuu unamiliki kiwanda gani hapo kwako? Acha uchizi wewe ngoja na wachina waje wagome kuleta viwanda 200 vilivyoadiwa tutakimbilia wapi maana nishati tu shida mnakera kishenzi
Viwanda vya kusindika mbilimbi na juisi ya mabibo vinakuja.
 
Daaaah kama Rais kwenye mambo sensitive kama haya anakosea .......

Sasa kwenye mambo madogo madogo si ndio kabisa jamaa ana waburuza..........

Kiukweli ni hatari kuwa na Rais asiyefuata katiba................

Mungu tu ndio anajua tunakoenda Kwa Sasa kama nchi.............
Sasa si wamesharekebisha kiutu uzima bado unalalama nini?.....kama unaona raisi anakukera amia kenya.......ww
 
Possi anapoteza ubunge wake kwa sababu ya ama ushauri mbaya au kutokuielewa vizuri katiba..hata Possi nae ni msomi wa sheria!

Kama Bulembo na Prof kabudi watakula kiapo cha ubunge bado masharti ya ibara ya 66(1)(e) yatakuwa yamekiukwa kwasababu kujiuzulu kwake hakuondoi ukweli kwamba alipata kuteuliwa kuwa mbunge na kufikisha idadi ya wateule nane..sita wanaume na wawili wanawake..

Hata Edward lowassa alijiuzulu lakini hauoni historia ikimuacha kumuweka katika idadi ya waliopata kuwa mawaziri wakuu!

Njia pekee ya kumaliza makosa haya ni mteule mmoja kutokula kiapo cha ubunge..si vinginevyo!
 
Back
Top Bottom