Dk. Possi: Nimejiuzulu

Dk. Possi: Nimejiuzulu

Yule diwani wa chadema aliewekwa ndani miezi nane si kwa kosa kama hili la kukataa teuzi
 
Bila ya kushtuliwa na mitandao, idadi ya wabunge wanaoteuliwa na Rais ingevuka ile inayotakiwa. Wale wateule wa Rais wangeingia Bungeni na hapo ndipo ungeanzishwa mtiti. Siku nyingine kama iwapo watu wanataka kumbana Rais wamuache mpaka taratibu za ukiukwaji zifike mwisho!!
 
Kama KAJIUZURU hapo sawa
Lkn ile ya jana kama kawa balozi haikuwa na nguvu kisheria
Sasa ina maana kateua wanaume 5 na watani LZM wawe wanawake
Noo ameteua wanaume sita ila mmoja kajiuzuru....achen kufagilia ujinga!!inamaana yy alikua hajui katiba inamruhusu kufanya nn, na kwann asiulize wale maprofesa na madactar wa sheria waliomzunguruka ikulu au alijua uongoza nchi nisawa nakuongoza familia....fyuuu
 
Uhuru fm imemripoti Mwakyembe akidai ubunge wa Possi ulikoma pale tu alipoteuliwa ubalozi.Leo gazeti Mtanzania limemnukuu Possi akisema amejiuzulu ubunge.Wanafunzi wetu wa civics washike lipi,amejiuzulu au ubunge wake ulikoma automatically baada ya uteuzi mpya?
 
Kila anyeombea urais anataka na ana nafasi ya kuendesha nchi kwa utashi wake popote pale ulimwenguni acheni kudanganyana na videmokrasia vyenu vya darasa la nne!
Ana nafasi ya kuendesha nchi kwa utashi wake??? Sasa waliapa na katiba kwa ajili gani?? Na katiba ipo kwa ajili gani kma inaendeshwa kwa utashi wake jinsi anavyojiskia???

We jamaa unazidi kujidharaulisha kila unapocomment irrelevance ur the reason hta jukwaa la uchaguzi siendi tena..... unakera sana we jamaaa i pity ur kids
 
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.

Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.

Chanzo: Mtanzania

Swali:

Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Rais akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu nyingine yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge waliokwisha teuliwa na Rais inapungua au inabaki pale pale?
Pamoja na Possi kujiuzulu lakini rais alishakiuka katiba kabla. Inawezekana amejizulu kunusuru hali lakini kama nchi tunamwomba mh. rais awe makini anapofanya maamuzi yoyote. Ni vema akawa anairejea katiba aliyoapa kuilinda na kuitetea akiwa ameshikilia biblia takatifu.
 
Acheni kujitoa ufahamu! Kwani mbunge wa jimbo akijiuzulu kipindi kama hiki inakuwaje? Je jimbo lake litabaki wazi hadi 2020?
Mkuu with due respect, naona wewe ndiyo umejitoa ufahamu. Rais kapewa nafasi 10 za kuteua wabunge katika muhula wake wa miaka 5. Nafasi 10 tu!

Ikitokea wamekufa wote 10, au wamejiuzulu wote...Rais hana mamlaka kikatiba ya kuteuwa wabunge mbadala wa waliokufa/waliojiuzulu!
 
Labda tusaidiane kidogo. Bush aliposema Sadam ana silaha za nyuklia alikosea au hakukosea. Mwinyi alipompandisha Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu, alikosea hakukosea. Mkapa aliponzisha kampuni ilikiwa na anuani ya Ikulu alikosea hakukosea. Mseveni anapopandisha na kuwapa madaraka mkewe na watoto wake anakisea hakosei. Kibaki alipojiapisha ikulu harakaharaka baada ya kugeuza matokeo ya kura je.
Ukimaliza hayo na mengine meeengi, laumu hili.
Mkuu Congo arguments zako hazina mashiko. Hayo unayoyaita "makosa" si ya kikatiba sana sana ni ya kimaadili zaidi na kufanya mambo kinyume na utaratibu tu. Tukubaliane kuwa Mambo yakifanywa kinyume na katiba,hiyo ni issue very serious na inahitaji mjadala mpana ili kurekebisha hali hiyo kwa maslahi mapana ya nchi. Kuna Wakati Mwalimu Nyerere alimteua Chediel Mgonja kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara huku akiwa amehukumiwa na Mahakama Kuu kuwa asishiriki kwenye uongozi kwa muda wa miaka mitano (5). Nakumbuka Joseph S. Warioba akiwa mwanasheria mkuu wa Serikali alimfuata Mwalimu na kumweleza "Mwalimu umekiuka Katiba"! na Mwalimu Nyerere akakubali yaishe akatengua uteuzi huo. Hivyo hisia za kukiukwa kwa katiba ya nchi ni kitu cha kukitilia maanani sana ndiyo maana Viongozi wanaaswa kila siku kufanya mambo kwa busara kwa kuzingatia Katiba ya Nchi, vinginevyo nchi itakuwa, "Banana Republic".
 
Hata hivyo kusahihisha kosa haifuti historia kuwa ulikosea. Hapa ilitakiwa hili la Possi kujiudhuli lifanyike kabla ya Kabudi na Bulembo kuteuliwa...

"Walijisahau" na wamekuja kushtuka kumeshakucha baada ya wanasheria na wadau wengine wanaosoma vifungu vya sheria word to word kuwatoa tongotongo.
 
Sheria mama lazima ifuatwe, nje na hapo we are in hell.
 
Kama KAJIUZURU hapo sawa
Lkn ile ya jana kama kawa balozi haikuwa na nguvu kisheria
Sasa ina maana kateua wanaume 5 na watani LZM wawe wanawake
Kitendo cha Dr Possi kujiuzulu ubunge hakiondoi kosa la Rais kuteua wabunge 6 wanaume! Kosa litaondoka endapo tu Rais atampiga chini mmoja wa wabunge wawili wapya kabla hawajaapishwa Bungeni Dodoma.
 
Kitendo cha Dr Possi kujiuzulu ubunge hakiondoi kosa la Rais kuteua wabunge 6 wanaume! Kosa litaondoka endapo tu Rais atampiga chini mmoja wa wabunge wawili wapya kabla hawajaapishwa Bungeni Dodoma.
Nadhani tukisoma Ibara ya 66(1) bila kuathiri ibara ya 71(1)(a-g)
Kujizuru kwa Dr Possi kunapunguza sasa idadi ya wateule wa Rais kuwa 7 na wanaume watano na akina mama wawili
Hii ina maana sasa Rais hawezi tena teua mwanamme kwa nafasi hizi 3 zilizo baki!
 
Ana nafasi ya kuendesha nchi kwa utashi wake??? Sasa waliapa na katiba kwa ajili gani?? Na katiba ipo kwa ajili gani kma inaendeshwa kwa utashi wake jinsi anavyojiskia???

We jamaa unazidi kujidharaulisha kila unapocomment irrelevance ur the reason hta jukwaa la uchaguzi siendi tena..... unakera sana we jamaaa i pity ur kids

Dunia hii inaendeshwa na watu wachache sana. Na pia watu wachache werevu wanafahamu dunia hii inaendeshwaje, watu wengi wajinga hawajui dunia hii inaendeshwaje lakini wao wanaamini wanavyojuaa wao ndivyo dunia ndivyo inavyoendeshwa. Kaa hivyo hivyo, niliamua kukusaidia uanze kufikiri tofauti kumbe umefungwa na minyororo ya chuma, Marehemu Bob Marley aliita mental slave!
 
Ww ndo hamnazo kabisaa,yaan ujiendeshee nchi utakavyo? Mbona kwa Tanzania rais anaapa kuilinda katiba ya jamhuri nini maana yake? Tumia kichwa kufikiri usitumie tumbo

Anaapa kuilinda halafu anailind sio? Vp uwezo wake wa kikatiba wa kuchezea katiba nao una ufahamu? Au unafikiri katiba inamfunga rais, kwa taarifa yako ukitaka madaraka ya rais katika katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania utakuta nchi hii kumbe inaendeshwa na rais tu na inampa madaraka ya kufanya ayatakayo. Tuliza kichwa, nyie mliokimbilia mambo kabla katiba haijabadilishwa ndio dawa yenu hiyo, tuliwaambiwa toka mwanzoni mwa miaka ya tisini kisifanyike chochote mpaka katiba ibadilishwe, uroho wenu na tama zenu za sifa mkasaliti watanzania leo mnajifanyakupiga kelele huku akina Leo lekanwa wakionekana wapuuzi. Unamkumbuka yulee mtu alisigina katiba pale Jangwani? Au ulikuwa hujazaliwa. Magu pikia hao maharage, watie gesi waendelee kupumua hewa chafu maana walikuwa na hamu ya kushiba maharage hay na wayale sasa
 
Mwenda wazimu ni wewe usiye nijua na unafikiri watu wote ni ma chizi kama wewe. ..if you think education is expensive try ignorance. .SO STAY!
Ndezi wewe waliyekuwe nyuma ya mlango kwa kujiona mzalendo katuni,nna elimu yangu ambayo inanifanya niishe nitakavyo ujinga wenu wa buku 7 na ufipa peleka kwenye Nyashimo msengerema wewe
 
Dunia hii inaendeshwa na watu wachache sana. Na pia watu wachache werevu wanafahamu dunia hii inaendeshwaje, watu wengi wajinga hawajui dunia hii inaendeshwaje lakini wao wanaamini wanavyojuaa wao ndivyo dunia ndivyo inavyoendeshwa. Kaa hivyo hivyo, niliamua kukusaidia uanze kufikiri tofauti kumbe umefungwa na minyororo ya chuma, Marehemu Bob Marley aliita mental slave!
Unisaidie mmi?? Mtu mwenyewe mwepesi kichwani hivi hta swali dogo tu kuhusu katiba tukabishana wiki nzima hujibu hoja kazi kujadili ndoa ya mbowe nilikudharau sana toka kipindi kile sikutaka hta kuquote leo sema UNABOA sana i found myself replyin.... anyway acha niendelee kifungwa akili na minyororo huku nyie mnaofkiri tofuati muendelee kuaminshwa dunia "inavyoendeshwa".... yaani jitu zima kma wwe unaamini hizo conspirancy?? shame on u and i still pity ur kids
 
Back
Top Bottom