Dk. Possi: Nimejiuzulu

Dk. Possi: Nimejiuzulu

Tuendelee kuwa wachambuzi wakati wakenya na wahindi wanamiminika kuja kuanzisha viwanda. Hayo yote unayoyadai yanapaswa kufanywa na sekta binafsi kwani serikali ilijiondoa kwenye uzalishaji baada ya kuridhia SAP. Usitegemee serikali iwe na kiwanda chake kwa sasa.
Nawaeleza kila siku humu ndani. ..acheni ubishi tufanye biashara. .bali wao ni kulalamika na maandishi marefu na points zisizo leta mkate mezani. ...mitusi kibao. ..
 
Ngoja nikae vizuri na wahindi wangu
 
hapa ni nia njema ya mtu vs katiba kinachoendelea nchi inaobgozwa na nia njema na utashi wa mtu na sio kwa kufuata katiba na sheria
 
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.

Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.

Chanzo:Mtanzania

Swali:

Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Mkuu idadi itabaki vilevile kivipi wakati amejiuzulu? Idadi itapungua mkuu!! Chenga ya mmepigwa chenga ya mwili.
 
..
Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?

Obviously inapungua. Ila kama ataendelea kuteua, itabidi sasa wawe kinamama tena wasiozidi watatu.

Hawa jamaa walichemka ila sasa wanazidi kutia aibu. Huyu Possi kaambiwa ang'oke tu ili kuficha aibu na sio eti "itakuwa uroho kung'ang'ania ubunge"
 
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.

Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.

Chanzo:Mtanzania

Swali:

Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
JF ni kiboko kwa ufukunyuku
 
Nawaeleza kila siku humu ndani. ..acheni ubishi tufanye biashara. .bali wao ni kulalamika na maandishi marefu na points zisizo leta mkate mezani. ...mitusi kibao. ..
Mkuu unamiliki kiwanda gani hapo kwako? Acha uchizi wewe ngoja na wachina waje wagome kuleta viwanda 200 vilivyoadiwa tutakimbilia wapi maana nishati tu shida mnakera kishenzi
 
Daaaah kama Rais kwenye mambo sensitive kama haya anakosea .......

Sasa kwenye mambo madogo madogo si ndio kabisa jamaa ana waburuza..........

Kiukweli ni hatari kuwa na Rais asiyefuata katiba................

Mungu tu ndio anajua tunakoenda Kwa Sasa kama nchi.............
Wewe nae huwa sikuelewi km magu tu
 
Daaaah kama Rais kwenye mambo sensitive kama haya anakosea .......

Sasa kwenye mambo madogo madogo si ndio kabisa jamaa ana waburuza..........

Kiukweli ni hatari kuwa na Rais asiyefuata katiba................

Mungu tu ndio anajua tunakoenda Kwa Sasa kama nchi.............
Labda tusaidiane kidogo. Bush aliposema Sadam ana silaha za nyuklia alikosea au hakukosea. Mwinyi alipompandisha Mrema kuwa Naibu Waziri Mkuu, alikosea hakukosea. Mkapa aliponzisha kampuni ilikiwa na anuani ya Ikulu alikosea hakukosea. Mseveni anapopandisha na kuwapa madaraka mkewe na watoto wake anakisea hakosei. Kibaki alipojiapisha ikulu harakaharaka baada ya kugeuza matokeo ya kura je.
Ukimaliza hayo na mengine meeengi, laumu hili.
 
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.

Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.

Chanzo:Mtanzania

Swali:

Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Hakuna appointment with replacement! Hakuna, legislature ingelikuwa na nia hiyo ingelitaja kabisa maana hilo sio jambo dogo kuwa mtu anakuwa na infinite number of appointees by way of replacement! Kuna watu watawajibishwa kwa kuvunja katiba, time will tell!
 
Watu wazima wameshaelewa kama mkuu alichemka!
nani alikuwa hajui kama ili ionekana hajakosea itabidi ajiuzuru?
 
Hii serikali bwana kila siku ni teuzi nakumbuka mwaka uliopita Mourinho nusu aishushe daraja chelsea kwa sababu hana kikosi maalumu cha first eleven (hakujipanga)

Pamoja na pangua yote hiyo sijaona dalili za viwanda kama kuwa train watu(human capital) wala kufanyia utafiti wa masoko na viwanda vya bidhaa zinazohitajika na ni wapi?
Anatumia tight monetary policy ila inapingana na kanuni cha uchumi inflation iko juu na exchange rate na dolla inazidi kupanda (nina wasiwasi BOT hamna nyakati mbaya ambazo wamepitia kuingilia uhuru wao kama hizi) haiji akilini kwenye nchi changa kama yetu utoe amri ya billions of money zitumike kufanyia kitu fulani ukiwa jukwaani
Conclusion-nchi inaendeshwa sana na utashi wa mtu

Mkuu unategemea viwanda?
 
Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.

Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.

Chanzo:Mtanzania

Swali:

Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Wacha apunguze mrundikano mjengoni
 
Acheni kujitoa ufahamu! Kwani mbunge wa jimbo akijiuzulu kipindi kama hiki inakuwaje? Je jimbo lake litabaki wazi hadi 2020?[/QUOTEinaonekana hujaelewa, kwan possi ana jimbo? Mleta mada anamaanisha hadi sasa raisi amebakiza nafasi mbili, je kwakua possi amejiudhulu bado raisi ana nafasi mbili zile zile au zinarudi kua tatu?
 
Hii serikali bwana kila siku ni teuzi nakumbuka mwaka uliopita Mourinho nusu aishushe daraja chelsea kwa sababu hana kikosi maalumu cha first eleven (hakujipanga)

Pamoja na pangua yote hiyo sijaona dalili za viwanda kama kuwa train watu(human capital) wala kufanyia utafiti wa masoko na viwanda vya bidhaa zinazohitajika na ni wapi?
Anatumia tight monetary policy ila inapingana na kanuni cha uchumi inflation iko juu na exchange rate na dolla inazidi kupanda (nina wasiwasi BOT hamna nyakati mbaya ambazo wamepitia kuingilia uhuru wao kama hizi) haiji akilini kwenye nchi changa kama yetu utoe amri ya billions of money zitumike kufanyia kitu fulani ukiwa jukwaani
Conclusion-nchi inaendeshwa sana na utashi wa mtu
Mkuu heri ya mwaka mpya
 
Back
Top Bottom