domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,588
- 1,758
Rais anaapa kuilinda na kuitetea katiba. Nchi haiendeshwi kwa utashi wa rais bali kwa mujibu wa sheria.. Ikiendeshwa kwa utashi wa rais ni udikteta.
Ukisema popote ulimwengu unajidanganya au kwa kujua au kutojua. Kwa arguments zako inaonekana wewe ndiye darasa la 4. Acha GT wajadili.
Hayo ni maneno tu, wewe unafikiri ingekuwa hivyo kule Marekani wangeandamana? Fungua macho uone reality na uache kukremishwa. Kuna ideal world na real orld, wewe baki sasa na hivyo vikatiba vyako uone watu wanavyopiga kanyaga twende. Ni utashi tu baba, dunia ndivyo ulivyo, kama hukujuaga ipate leo