Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,780
- 5,318
Ni Kama kakataa uteuzi hivyo idadi itapungua.Swali lake la msingi HALIJAJIBIWA
Ni Kama kakataa uteuzi hivyo idadi itapungua.Swali lake la msingi HALIJAJIBIWA
Sasa hapo nani kajitoa ufahamu wewe usiyejua unachochangia au wenzako wanao tema madini?Acheni kujitoa ufahamu! Kwani mbunge wa jimbo akijiuzulu kipindi kama hiki inakuwaje? Je jimbo lake litabaki wazi hadi 2020?
Kwa Afrika siasa sio maendeleo na ndio maana mtu yeyote asiye na sifa za uongozi na utawala anaweza kuwekwa akawa kiongozi na mtawala ili mradi tu kuonekane kuna kiongozi wakati hayupo. Watu kama hao uwepo wao ni sawa na kutokuwepo. Mbaya zaidi ni kwamba Afrika watu wanashinda kwa wizi wa kura na wananchi hawana uwezo wa kuchagua kiongozi hata kama wanapiga kura.Hii serikali bwana kila siku ni teuzi nakumbuka mwaka uliopita Mourinho nusu aishushe daraja chelsea kwa sababu hana kikosi maalumu cha first eleven (hakujipanga)
Pamoja na pangua yote hiyo sijaona dalili za viwanda kama kuwa train watu(human capital) wala kufanyia utafiti wa masoko na viwanda vya bidhaa zinazohitajika na ni wapi?
Anatumia tight monetary policy ila inapingana na kanuni cha uchumi inflation iko juu na exchange rate na dolla inazidi kupanda (nina wasiwasi BOT hamna nyakati mbaya ambazo wamepitia kuingilia uhuru wao kama hizi) haiji akilini kwenye nchi changa kama yetu utoe amri ya billions of money zitumike kufanyia kitu fulani ukiwa jukwaani
Conclusion-nchi inaendeshwa sana na utashi wa mtu
Katiba yenyewe unaifahamu?Kifungu kipi cha katiba kilichovunjwa?
Hii serikali bwana kila siku ni teuzi nakumbuka mwaka uliopita Mourinho nusu aishushe daraja chelsea kwa sababu hana kikosi maalumu cha first eleven (hakujipanga)
Pamoja na pangua yote hiyo sijaona dalili za viwanda kama kuwa train watu(human capital) wala kufanyia utafiti wa masoko na viwanda vya bidhaa zinazohitajika na ni wapi?
Anatumia tight monetary policy ila inapingana na kanuni cha uchumi inflation iko juu na exchange rate na dolla inazidi kupanda (nina wasiwasi BOT hamna nyakati mbaya ambazo wamepitia kuingilia uhuru wao kama hizi) haiji akilini kwenye nchi changa kama yetu utoe amri ya billions of money zitumike kufanyia kitu fulani ukiwa jukwaani
Conclusion-nchi inaendeshwa sana na utashi wa mtu
Tuna kiwanda cha chaki kule simiyuWe usijidanganye huwezi kuwa na viwanda bila biashara (masoko),viwanda lazima vi integrate kilimo nishati etc huwezi kuzungumzia viwanda huku umejifungia ndani the issue inahitaji dimensions nyingi sana labda unazungumzia viwanda vya matofali
Ni Kama kakataa uteuzi hivyo idadi itapungua.
Mkuu kama kuna mtaalamu wa katiba atusaidie, asiegemee upande wowote.Daaaah kama Rais kwenye mambo sensitive kama haya anakosea .......
Sasa kwenye mambo madogo madogo si ndio kabisa jamaa ana waburuza..........
Kiukweli ni hatari kuwa na Rais asiyefuata katiba................
Mungu tu ndio anajua tunakoenda Kwa Sasa kama nchi.............
Mmmh! Interesting.Asema atakuwa na uroho kiasi gani kung'ang'ania ubunge.
Awasilisha barua ya kuachia ngazi kwa mamlaka husika.
Chanzo:Mtanzania
Swali:
Kikatiba, Mbunge wa kuteuliwa na Raisi akijiuzulu au kukoma kuwa mbunge kwasababu yoyote ile inayotambulika Kikatiba,idadi ya wabunge walikokwisha teuliwa na Raisi inapungua au inabaki pale pale?
Uteuzi upi mkuu wa ubunge au wa ubalozi,,,,,huyo hapo hajakataa hata mmoja ila anakula pensheni kwa namna tofauti2 amepiga kwenye ubunge na sasa kwenye huo ubaloziNi Kama kakataa uteuzi hivyo idadi itapungua.
NaifahamuKatiba yenyewe unaifahamu?
Rais anaapa kuilinda na kuitetea katiba. Nchi haiendeshwi kwa utashi wa rais bali kwa mujibu wa sheria.. Ikiendeshwa kwa utashi wa rais ni udikteta.Kila anyeombea urais anataka na ana nafasi ya kuendesha nchi kwa utashi wake popote pale ulimwenguni acheni kudanganyana na videmokrasia vyenu vya darasa la nne!
He heeeeeee Magamba hoyeeeeeDaaaah kama Rais kwenye mambo sensitive kama haya anakosea .......
Sasa kwenye mambo madogo madogo si ndio kabisa jamaa ana waburuza..........
Kiukweli ni hatari kuwa na Rais asiyefuata katiba................
Mungu tu ndio anajua tunakoenda Kwa Sasa kama nchi.............

Hujaelewa nini sasa hapo?Sijaelewa possi kajiulizulu?