jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,522
Ndo bongo hiii bwana! Wepesi wa kusahau unatisha!Kwa Tanzania yetu hii,,,watu wameshasahau kama walichakachuliwa katiba yao mimi naona hakuna jipya
Katiba ya kifisadi itakuwa imepita ili kutengeneza mafisadi wengine wapya!