Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

Dk. Kitila Mkumbo ajitambulisha rasmi ACT

sifa zooote ulizoziandika ni za viongozi wa chadema wakiongozwa na mwenyekiti na katibu

Kutokana na uzandiki, umbea, uongo, kuendekeza njaa..Kitila na Mwigamba walifukuzwa Chadema kama ma-mbwa
 
wana arusha wanajilaumu sana kumchagua lema. chama makini cha act kinachukua jimbo la arusha

Msakatonge mwenzio Mwigamba aka Maskini Mkulima anaijua shughuli ya Lema. Mke mwenzio Batilda Burian hataki kabisa kuosogelea Arusha
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na uzandiki, umbea, uongo, kuendekeza njaa..Kitila na Mwigamba walifukuzwa Chadema kama ma-mbwa

walifukuzwa kwa sababu wana akili kubwa kupita viongozi wa chama. chadema inataka mambumbumbu kama lema na sugu
 
Hahahaa hayawi hayawi sasa yamekuwa, it was a matter of time wangeonesha their true colors.. Gombanieni tu uenyekiti wa ATC sijui ACT, lakini chama kilichobeba matumaini ya watanzania ni Mwiko kupewa makanjanja wa kisiasa.
 
Kwani chadema ni chama cha kuitawala tanzani? Labda kitatawala wanyama pori ,hata magwanda yao ni ya wanyama pori ,walisha tambua kuwa walisha bolonga kwa watanzania,na ndo wanachangia kuivuruga amani nchini ,na 2015 act-tanzania kitawapiga chini kikishika nafasi ya pili nyuma ya chama kizuri na chenye sifa zote zakuwa chama tawala ambacho ni ccm.
 
walifukuzwa kwa sababu wana akili kubwa kupita viongozi wa chama. chadema inataka mambumbumbu kama lema na sugu
Akili kubwa awe nayo Mwigamba? Huyu aliyemteua mjinga mwenzake Limbu kuwa Mwenyekiti? Kama Mwigamba mnamwona ana akili kubwa basi ACT itakuwa kama NRA
 
Back
Top Bottom