Dk. Charles Kimei apewe nishani ya kitaifa

Dk. Charles Kimei apewe nishani ya kitaifa

mbona umeishia ukabila tu? ungemalizia na masuala ya udeen kabisa

Azania je? PBZ? Acha kuleta hizo. Mimi mwislamu lakini nimeajiriwa Maendeleo Bank. Futa kauli za kichochezi Ustaadh.
 
Katika watanzania waliofanya vizuri ni DK Charles Kimei.Kwa uwezo wake mkubwa wa kuibadilisha benki ya CRDB iliyokuwa chumba cha maiti na kuifanya iwe benki bora yenye matawi ndani na nje ya nchi.
Ni CEO ambaye kaonyesha kuwa haogopi ushindani na aweza shindana kibiashara ya kibenki na benki yoyote iwe ya ndani au nje ndani na nje ya nchi.
Ameijengea hadhi CRDB na kuifanya benki bora mbele za wananchi wengi ambao zamani ukitaja CRDB watu wangeuliza ndio mdudu gani huyo

Hivi CRDB ina matawi nchi zipi zaidi ya tawi la Burundi?
 
Hii tuzo ni sawa kabisa kwa mtu sahihi,siyo zile anazopewa Mengi wakati hana biashara inayoeleweka.Dr.Kimei kathibitisha kuwa watanzania weusi tunaweza

Hujui biashara za Mengi na mafanikio yake pamoja na heshima aliyojijengea kwa taifa na ulimwengu au biashasa yakueleweka kwako ni madawa ya kulevya?
 
Kwani hamjui uchagani ndo kunashule za uhakika kwenje njia hivi so unashangaa nn mchaga kufanya vizuri

hahahaha uzi huu umeni furahisha...mleta uzi umeandika kwa uchungu fulani pia...natumai prezidah atakuwa amekuskiaaaa
naona yuko kitandani lkini katuma salam za pole kwa amigolas si unajua alitamani angekuwepo msibani kucheki yale mamboz

Hee kumbe anaendaga kwa kazi maalumu?
 
kwa nini asiwe mchechu ambae kazi yake inaonekana waziwazi sio kimei
 
kwa nini asiwe mchechu ambae kazi yake inaonekana waziwazi sio kimei

Wazawa Wanaofaidika na huduma za CRDB ya Kimei ni wengi kuliko wanaofaidika na huduma za NHC ya Mchechu

Sipingi hilo la MCHECHU kupewa.Kwa kuwa maada yangu haikuwa hiyo ungeweza anzisha yako.Ila naamini pia MCHECHU angeweza kupewa naye kama role model ya uendeshaji wa mashirika ya Umma.Kuna wengi wanaamini watanzania hawawezi kuendesha mashirika ya umma kwa ufanisi MKUBWA .Nawaomba wamwombe Mchechu wa NHC awafundishe.Kimei namsifia kwa kuifanya CRDB bank iwe benki ya kisasa na inayopendwa na watanzania wengi na yenye branch network kubwa ndani na nje ya nchi.
 
Katika watanzania waliofanya vizuri ni DK Charles Kimei.Kwa uwezo wake mkubwa wa kuibadilisha benki ya CRDB iliyokuwa chumba cha maiti na kuifanya iwe benki bora yenye matawi ndani na nje ya nchi.
Ni CEO ambaye kaonyesha kuwa haogopi ushindani na aweza shindana kibiashara ya kibenki na benki yoyote iwe ya ndani au nje ndani na nje ya nchi.
Ameijengea hadhi CRDB na kuifanya benki bora mbele za wananchi wengi ambao zamani ukitaja CRDB watu wangeuliza ndio mdudu gani huyo

Ivi una akili au umekunywa pombe jana sasa leo bado zipo kichwani na kwa bahati mbaya alie kununulia pombe ni Mzee Kimei sasa inabidi umrushe kwa stail hii, laiti ungejuwa usinge andika ni mjinga anaandika haya ila sio mtu alie soma na ana akili timamu. Pole
 
Mm simuungi mkono Kimei japo n mteja wa CRDB.HAIWAJALI WATU WA CHINI,WANA RIBA KUBWA TOFAUTI NA NMB,AJIRA ZA KIKABIRA KWA KIAS KIKUBWA, WANAPENDA KUJISIFIA KWA SHEREHE NA MAKMGAMANO.WANA MATUMIZI MAKUBWA NDO MANA HATA RIBA IPO JUU.INATUMIKA KIFISADI SANA CRDB.HASITAHIRI .

Kwa huo uandishi 'mbovu' hata kama una hoja unaonekana 'pumba' tu...hata hivyo, huna hoja zaidi ya bla bla blaah! CRDB ingekuwa na waajiriwa wasio na uwezo sababu ya kubebana kikabila, wangekuwa wana matumizi mabovu ya fedha kwa kuendekeza sherehe na kujisifia, ingekuwa inatumika kifisadi...basi benki isingekuwa na mafanikio yote hayo yanayosemwa!
 
Ivi una akili au umekunywa pombe jana sasa leo bado zipo kichwani na kwa bahati mbaya alie kununulia pombe ni Mzee Kimei sasa inabidi umrushe kwa stail hii, laiti ungejuwa usinge andika ni mjinga anaandika haya ila sio mtu alie soma na ana akili timamu. Pole
toa hoja dada...acha majungu!
 
nahitaji kumjua mkurugenzi wa NHC,huyo ndo anastaili tuzo za maana kwa kuitoa NHC kabulini
 
Wezi hao jamaa, si wa kuweka benki kuu.NI WEZI MUNO NA WANAPENDA KUBEBANA WAO KWA WAO.

Kila mtanzania ni mwizi tena sugu
😱:sly:😕😕 usipoiba cash utaiba hata muda WA mwajiri wako ,hata magumashi upate kitumbua, hata rushwa kwa mgonjwa yaan usiseme mchaga mwizi na wote sisi ni wezi......
 
nahitaji kumjua mkurugenzi wa NHC,huyo ndo anastaili tuzo za maana kwa kuitoa NHC kabulini

Ameifanya NHC kuwa ya matajiri badala ya kuhudumia watu wa hali ya kawaida (wafanyakazi). Sioni cha kumsifu huyu ni fisadi mwingine tu. Nyumba wanazojenga za gharama nafuu million 60-80. Mfanyakazi wa umma Tz mwenye mshahara(masihara) wa laki tatu ataweza? Angekuwa na mpango wa kuwawezesha watu wa kada hii, ningemwona wa maana. NHC ni shirika la umma lakini sasa limekuwa kama la mfanyabishara binafsi anayeangalia faida tu.

Nilitegemea NHC ndio ikope Bank na kujenga hizo nyumba. Wafanyakazi na watanzania wengine wa kipato cha chini wapange na kulipa kidogo kidogo hadi wafikie kuzimiki hizo nyumba. Malipo yawe hadi miaka ishirini.
 
Hii tuzo ni sawa kabisa kwa mtu sahihi,siyo zile anazopewa Mengi wakati hana biashara inayoeleweka.Dr.Kimei kathibitisha kuwa watanzania weusi tunaweza

Mkuu,

Husemwa kuwa, Mengi ni miongoni mwa wenye hisa nyingi CDRB kiasi kilichompelekea Kimei kuendelea kubaki hapo na kufanya hayo anayofanya, hivyo huwezi kutofautisha mafanikio ya Kimei unamtosa Mengi. Ni Mtazamo tu
 
Back
Top Bottom