Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Nadhani wameshatia mguu Rwanda kama sikosei
Ni burundi mkuu
Nadhani wameshatia mguu Rwanda kama sikosei
Jamaa ni mdini sana, hafai kwa Tanzania yetu isiyo na dini
Kimei ni mdini sana, bila msalaba hupati kazi
Ametisha kwa kuendekeza udini
Tatizo lake ameendekeza sana udini
Mko wangapi hapo maendeleo wenye sigda
Tatizo lake mdini sana
Huwa mambo yanaharibika mdogo mdogo hivi hivi maana itafika wakati unaita watu kwenye interview kwa kuangalia dini kama umeita 10 unaweka vigezo waislamu 5 na wakristo 5 alafu mnakuja kwenye nafasi 6 zinazotakiwa wakristo 3 waislamu 3 alafu mnakuja kwenye panel team kama mpo 6 mnasema wawepo wakristo 3 na wakristo 3 ili kuwe na fairness alafu mwisho wa siku udini ndio unashika kasi.
Mbona hizi issue kwenye mitandao zinazungumziwa sana lakini kwenye maisha yetu huku uswahilini tunajichanganya n hata hatuulizani dini gani, kikubwa ni kuangalia hao walioajiriwa wana deserve hizo nafasi. Tunatoka kwenye issue ya ku-balance gender na kuhamia kwenye vigezo vya dini tena sijui itakuaje tukifikia hapo kila mtu kwenye CV inabidi aweke kipengele cha dini
May be Muslims are second class citizensTatizo ni wakristo, taasisi karibu zote wamejaa wao lakini husikii Muislam akilalamika...! Imekuwa nssf kuongozwa na Muislam basi wote ooooo udini udini...
Wameyafukua wao tunalazimika kujibu mapigo
Tatizo ni wakristo, taasisi karibu zote wamejaa wao lakini husikii Muislam akilalamika...! Imekuwa nssf kuongozwa na Muislam basi wote ooooo udini udini...
Wameyafukua wao tunalazimika kujibu mapigo
Hamna vigezo vya kuwa huko
May be Muslims are second class citizens
Sio sisi tu twala hata nyie😱😱:thumbdown::thumbdown::thumbdown:Kama kigezo ni kula nguruwe na kuabudia sanamu, labda