Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

Kama Makamu wa Muungano ni mkubwa kuliko Rais wa Zanzibar ilikuaje Dr. Shein akaenda kugombea Urais Zanzibar wakati alikua Makamu wa Mkapa na JK kwa awamu ya kwanza?

Mkuu, tukiacha ushabiki wa kisiasa kati ya Tanganyika na Zanzibar, Makamu wa Rais wa JMT ndiyo mkubwa. UN wanaijua Tanzania kama nchi na Zanzibar ni sehemu yake.

Rais wa Zanzibar anaweza kuhutubia Baraza la UN kwa kumuwakilisha Rais wa JMT tu na si kama Rais wa Zanzibar. Labda DR Shein aliacha U Makamu wa JMT kwa matarajio yakuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa JMT kwa katiba ya mzee wa vijisenti.
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?
Angemalizia miaka yake mitano iliyobaki , Atakuwa ni makamu wa raisi wa kwanza kushika wadhifa huo kwa miaka 5
 
mdukuzi

JK ni mtoto wa mjini anajua kucheza na akili za watu na fitina anaiweza kweli kwel,maskini bilali urais ndio basi tena coz after 5years tunatarajia mzee wa watu atakua keshachoka saaanaaa hivyo hatoweza kugombea tena!
 
Last edited by a moderator:
Mtaalam wa nyukila yeye na uongozi wapi na wapi?

Ndo shida ya wanazuoni wa TZ kila mmoja anataka kuwa mwanasiasa, wanasahau kuwa siasa pia ni taaluma kama taaluma walizozikacha wao.

Wange baki kwenye taaluma zao wangeweza kufanya vitu vyenye kuwapa heshima pia!
 
waende tu wamwache el alosomea siasa aendelee kupambana na j.k wao wakapumzike ila lowasa hatomuacha j.k hivihivi na bado anakula naye sahani moja na mpaka sasa amemueza vyakutosha na mengi yanakuja tusubiri
 
Mkuu, tukiacha ushabiki wa kisiasa kati ya Tanganyika na Zanzibar, Makamu wa Rais wa JMT ndiyo mkubwa. UN wanaijua Tanzania kama nchi na Zanzibar ni sehemu yake.

Rais wa Zanzibar anaweza kuhutubia Baraza la UN kwa kumuwakilisha Rais wa JMT tu na si kama Rais wa Zanzibar. Labda DR Shein aliacha U Makamu wa JMT kwa matarajio yakuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa JMT kwa katiba ya mzee wa vijisenti.

Kumbuka kipindi Shein anaenda kugombea Urais wa Zanzibar hakukua na mpango wa Katiba Mpya na Mchakato wa Katiba umeanza tayari Shein akiwa ni Rais wa Zanzibar.
Hapo ni sawa na Lowasa angeteuliwa kuwa Waziri wa kawaida kwenye Wizara yoyote baada ya kujiuzulu.
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?

sio kama hafai ila ilitakiwa apambane na ashinde kihalali
haingii akilini kama pinda na bilali kabla ya kuchukua form hakushauriana na rais
pinda na bilali kutokuingia hata tano bora ni kashfa kwao na kama wana akili wajiuzulu tu
na walikatwa na kikwete makusudi ili membe apate watu dhaifu
hii iko wazi kikwete kawadhalilisha na yeye mwenyewe kajidhalilisha
 
sio kama hafai ila ilitakiwa apambane na ashinde kihalali
haingii akilini kama pinda na bilali kabla ya kuchukua form hakushauriana na rais
pinda na bilali kutokuingia hata tano bora ni kashfa kwao na kama wana akili wajiuzulu tu
na walikatwa na kikwete makusudi ili membe apate watu dhaifu
hii iko wazi kikwete kawadhalilisha na yeye mwenyewe kajidhalilisha

Hapo kwa red siyo kweli mkuu, ingekuwa hivyo asiweka jina la membe. Mimi nachojua JK alimuweka membe makusudi kumridhisha na kuridhisha familia ya JK (riz na salma) make nasikia walikuwa wanampigia chapuo membe. Ila JK alijua wazi membe hawezi penya

Ila yote tisa, kumi ni kwamba tukubali tu kwamba JK alimtaka Magufuli, na ndo kapita, na mtu safi tu kiutendaji, anawazidi hao kina pinda na bilal, so wasilalamike wakati kapatikana mtu mzuri tu
 
Mkuu, tukiacha ushabiki wa kisiasa kati ya Tanganyika na Zanzibar, Makamu wa Rais wa JMT ndiyo mkubwa. UN wanaijua Tanzania kama nchi na Zanzibar ni sehemu yake.

Rais wa Zanzibar anaweza kuhutubia Baraza la UN kwa kumuwakilisha Rais wa JMT tu na si kama Rais wa Zanzibar. Labda DR Shein aliacha U Makamu wa JMT kwa matarajio yakuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa JMT kwa katiba ya mzee wa vijisenti.
Lakini kiutendaji shein yuko juu
 
Jamani si basi tenaa apewe nini na apumzike ale bataa...
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?

Angalau Bilal, Pinda na Mwandosya wangeingia tano bora halafu waondolewe kwa kura. Maadam hilo halijafanyika, ni dosari kubwa sana.
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?
Mkuu ni Balal au Bilal
 
Nilidhani Bilal ndiye kakuambia anajuta kumfahamu Kikwete, kumbe ni mawazo yako.Ndugu yangu,kama huna kitu cha kuandika ni bora ukanyamza.
mdukuzi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom