chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,136
Za darasani nazo zilishayeyuka maana zingekuwa bado zipo angeweza kugundua hila za huyu mbaya wake mwenye digrii moja
Daktari wa falsafa katika Fizikia ya Nyuklia. Hakuweza kutoa machapisho ya kutosha kufikia angalau ngazi ya profesa mshiriki. Muda wote huu aliotoka nje ya taaluma (tangu anyofolewe na kuwa katibu wa Wizara) Sasa HAWEZI kuhimili mikiki mikiki ya kitaaluma. Ajipumzikie kwa amani.