Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

Dk. Bilal ajuta kumfahamu Kikwete

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,322
Reaction score
56,058
Huyu jamaa almanusura awe rais wa Zanzibar mwaka 2010, kwani kule kwao Zanzibar alikuwa ana nyota kama ya Lowassa. Akaingizwa mkenge na JK, akasema mpishe Shein, njoo huku bara uwe makamu wa rais, cheo ambacho kinadharia ni kikubwa kuliko rais wa Zanzibar japo kiuhalisia haiko hivyo.

Bilal akaona huo ndio mwanzo wa kuwa rais wa Muungano, kilichompata kila mtu anajua. Nafasi za juu zote zimejaa, si Zanzibar wala Muungano. Labda arudi chuo kufundisha, pole Bilal.
 
hata darasani ahakuna kitu...Dkt wa wakati ule sio kama wa sasa.......
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?
 
Dr bilal alikuwa ananguvu sana ccm upande wa zanzibar na alikuwa na nafasi kubwa ya kushinda kwenye kura za maoni.ila tatizo lake ni kwamba alikuwa anasapoti muundo wa serekali tatu.ndo maana wakampa umakamu wa raisi bara ili kumpooza..its not personal,just bussiness
 
Huyu jamaa almanusura awe rais wa Zanzibar mwaka 2010, kwani kule kwao Zanzibar alikuwa ana nyota kama ya Lowassa. Akaingizwa mkenge na JK, akasema mpishe Shein, njoo huku bara uwe makamu wa rais, cheo ambacho kinadharia ni kikubwa kuliko rais wa Zanzibar japo kiuhalisia haiko hivyo.

Bilal akaona huo ndio mwanzo wa kuwa rais wa Muungano, kilichompata kila mtu anajua. Nafasi za juu zote zimejaa, si Zanzibar wala Muungano. Labda arudi chuo kufundisha, pole Bilal.


nilidhani hayo maneno katamka Dr. Bilal kumbe unamlisha maneno yako mwenyewe ......

usitufanye watoto kwa kuleta habari za kizushi humu
 
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda

Mnamaana aliyesimamishwa hafai?
Yaani kila mtu anaona kuwa angesimamishwa yeye!! Loh!
Urais kwa kweli umeleta changamoto kubwa sana mwaka huu,Nafikiri CCM Wabadilishe utaratibu sasa ili kuondoa mgawanyiko.
 
mdukuzi

Kama Makamu wa Muungano ni mkubwa kuliko Rais wa Zanzibar ilikuaje Dr. Shein akaenda kugombea Urais Zanzibar wakati alikua Makamu wa Mkapa na JK kwa awamu ya kwanza?
 
Last edited by a moderator:
Hii na yenyewe ni thread etii :redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces::redfaces:
 
mdukuzi

Ghalib Bilal kama Pinda, hawana maadili ndio maana WALIKATWA TU kwenye ngazi ya kamati ya maadili na Usalama. Hawachekani na Lowassa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom