KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,905
- 9,336
Zamani siku hizi ni State mkuu ni chi ndani ya nchi na imejipa madaraka kama nchi na kuwenza kuikanyaga katiba mama ya JMT na wakuu wa JMT wameufyata jamaa walijifanyia maamzi yao huko kimya kimya kuja kusituka wameisha pitisha kutaka kuwarudisha wakajajuu CCM ikataka kukatika wakasema ni bora CUF ikae madarakani wakasema haya basi tutaweka kamati!lakini hadi leo Wimbo,bendera vyote vyao na sasa hata jeshi walitaka kuwa na Jeshi lao hilo limeshindikana maana Jeshi lilikataa katu katu!Mkuu, tukiacha ushabiki wa kisiasa kati ya Tanganyika na Zanzibar, Makamu wa Rais wa JMT ndiyo mkubwa. UN wanaijua Tanzania kama nchi na Zanzibar ni sehemu yake.
Rais wa Zanzibar anaweza kuhutubia Baraza la UN kwa kumuwakilisha Rais wa JMT tu na si kama Rais wa Zanzibar. Labda DR Shein aliacha U Makamu wa JMT kwa matarajio yakuwa Rais wa Zanzibar na Makamu wa JMT kwa katiba ya mzee wa vijisenti.