abiko
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 692
- 588
Za darasani nazo zilishayeyuka maana zingekuwa bado zipo angeweza kugundua hila za huyu mbaya wake mwenye digrii moja
Tena gentle kwi kwi kwi
Za darasani nazo zilishayeyuka maana zingekuwa bado zipo angeweza kugundua hila za huyu mbaya wake mwenye digrii moja
mtu aliyekufa anajuta namna gani?
Ghalib Bilal kama Pinda, hawana maadili ndio maana WALIKATWA TU kwenye ngazi ya kamati ya maadili na Usalama. Hawachekani na Lowassa!
JK ni mutoto ya mjini hasa ila mi naona ndani ya miaka michache tutapoteza viongozi wengi wa ngazi za juu kwa magonjwa ya moyo na mashinikizo ya damu we imagine future ya watu unahiaribu huku unachekaJK ni mtoto wa mjini anajua kucheza na akili za watu na fitina anaiweza kweli kwel,maskini bilali urais ndio basi tena coz after 5years tunatarajia mzee wa watu atakua keshachoka saaanaaa hivyo hatoweza kugombea tena!
JK ni mutoto ya mjini hasa ila mi naona ndani ya miaka michache tutapoteza viongozi wengi wa ngazi za juu kwa magonjwa ya moyo na mashinikizo ya damu we imagine future ya watu unahiaribu huku unacheka
bila shaka lengo la JK limeshatimia.
uchonganishi dhahiri wamuache mzee akapumzike,mzee wa nyuklia kwanza hajapata hata fursa ya kutumia talent alizo anazo,mwacheni akale dola uko nje.umenifurahisha sana japo huu ni uchonganishi
Hivi watu mlitaka asimamishwe nani? manake kila mtu anamlaumu JK, wakati nafasi ni moja tu!! kila mtu anaita, si balal, lowasa, membe wala pinda
Mnamaana aliyesimamishwa hafai?
Yaani na midigrii yote migumu bado akaingizwa king na Jakaya daaaah
alipaswa kuwaambia hao uliowaorodhesha kuwa nao wajidai wamechoka siasa wanataka kustaafu kuliko kuwaacha wajidhalilishe kwenye majukwaa na wake zao wanataka urais huku akijua hawawezi kuwa.nikiwa na maana mpango wa kumpitisha magufuli haukuwa wa wiki moja au siku 2 bali ni lazima ulikuwa ukijulikana kwa miezi kadhaa na system kuu ya ccm.
Tumekuacha Kilomita nyingi sana