kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Najua Jf umu kuna watu wa kila aina, wengi wa habari wa mbea nk naomba mtueleze mnaofahamu.
Uyu Dj anae treand na Video zake akipiga miruzi, mara Anasema Friday.
Mwishoni mwa mwaka huu zimeonekana clip akigawa pesa sana mtaani.
Je ni kweli u Dj unalipa kiasi iko na elimu yake ikoje?
Uyu Dj anae treand na Video zake akipiga miruzi, mara Anasema Friday.
Mwishoni mwa mwaka huu zimeonekana clip akigawa pesa sana mtaani.
Je ni kweli u Dj unalipa kiasi iko na elimu yake ikoje?