vvvv
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 336
- 548
Hii timu yangu natamani waache propaganda ingewezekana waachane na media wajifiche sehemu wajinoe haswa, Hizi propaganda za Ahmed Ally ipo siku atakuja kupigwa mawe, jamaa akiongelea kuhusu Simba utadhani ni Real Madrid au Man City, watu tunaaminishwa uwezo ambao wachezaji hawana na tunapata expectations kubwa wakati wa usajili.
Sifa walizopewa kina Fred Michael uwezo wao hata robo ya tunachoambiwa haiki, sometimes nahisi wanasajili magara makusudi ili wapige hela ila wanamwandaa Ahmed Ally akapige domo.
Simba wafanye mambo yao kimya kimya wanatuchosha na kelele nyingi,timu ikifanya mambo yake kimya kimya hata ikidondosha point haiumizi sana maana watu washajiandaa kisaikolojia kuliko kelele nyingi za Ahmed Ally uwanjani wanacheza upumbavu.
Sifa walizopewa kina Fred Michael uwezo wao hata robo ya tunachoambiwa haiki, sometimes nahisi wanasajili magara makusudi ili wapige hela ila wanamwandaa Ahmed Ally akapige domo.
Simba wafanye mambo yao kimya kimya wanatuchosha na kelele nyingi,timu ikifanya mambo yake kimya kimya hata ikidondosha point haiumizi sana maana watu washajiandaa kisaikolojia kuliko kelele nyingi za Ahmed Ally uwanjani wanacheza upumbavu.