Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Naona kama hauna uwelewa wowote kuhusu tiba itolewayo Mirembe na ni kwa watu gani. Mktindio wa Ubongo siyo ugonjwa unaotibiwa Mirembe.huyo diwani ana mtindio wa ubongo mwaisheni mirembe hapo
Naona kama hauna uwelewa wowote kuhusu tiba itolewayo Mirembe na ni kwa watu gani. Mktindio wa Ubongo siyo ugonjwa unaotibiwa Mirembe.huyo diwani ana mtindio wa ubongo mwaisheni mirembe hapo
Mimi siyo kama Kubenea bwana, Hivi mahakama haiwezi kumwita Kubenea akhojiwa naye kwa kuingilia uhuru wa chombo hicho.haya ebu anza kujadil tuone baring in mind liko mahakaman, halafu na wewe Sambala ni shujaa yako kwa kutamka hvyo?
yaani hii habari imeniharibia mood naona kama ban inanukia vile, yaani hawa jamaa sijui wanaubongo wa betri, na anechaji betri ni JK-IlaZa, kweli inaboa aiseeeNaona kirode hapo juu kala ban hata mimi naondoka hapa sipo..
Jifunzeni kuheshimu maoni ya watu
Jifunzeni kuheshimu maoni ya watu
Kuna waliopoteza wake, watoto, wapendwa wao hakika mtekaji wa Ulimboka ni shujaa.
Jifunzeni kuheshimu maoni ya watu