BAK,
Uwa nakuheshimu sana kwa jinsi unavyo changia, na ndio maana nionapo hoja yako uwa naacha ushabiki wangu wa kisiasa na kujadili hoja kwa mlengo wa kati. Ningeomba na wewe uachane na mapungufu ya mtu au watu na ujikite kwenye suala lililopo kwenye uzi huu, nalo ni msiba, mambo mengine ya kejeli na fedheha tuyafanye kwenye nyuzi zenye maudhui ya namna hiyo lakini sio msiba. Yangu ni hayo tu mkuu.
Mkuu mimi niko mbali sana na hata hizo siasa sina mpango nazo tena.
Nyie endeleeni kumwagiana matindikali
Shukurani sana Mkuu, lakini ujue hili liende pande zote ili kuhakikisha uungwana wetu kama Watanzania haupotei. Kuna watu wengine hapa wanaandika vitu vya hovyo sana hadi wengine nasi tunaamua kuweka pembeni uungwana wetu. Nimekusikia Mkuu. RIP D.D. Mbao
![]()
Daudi Daudi Mbao Aliyekuwa Diwani wa Kata Ya Tungi Manispaa ya Morogoro amefariki leo nyumbani kwake nane nane Morogoro Mjini.
Marehemu alikuwa anasumbiliwa na ugonjwa wa sukari kwa muda mrefu na imefahamika ndio chanzo cha mauti yake.
Msiba uko Nyumbani kwake nane nane morogoro mjini ,Taratibu za mazishi zinaendelea na atazikwa kesho kwenye Makaburi ya Kola Mjini Morogoro
Bwana Ametoa na Bwana ametwaa Jiana la Bwana lihimidiwe
Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali pema Peponi Amen
Kwa mlengo huu nashindwa kutofautisha chadema na alqaeda au al shabab kwani wote hufurahia vifo vya wengine na wanaua watu kwa jina la Mungu
Poleni sana wafiwa> Ni diwani wa eneo langu
.....hapo kwenye red rekebisha!!!Tunaelekea kubaya, ukae ukijua mimi sikuchukii wewe kuwa chadema hata kidogo na hata ukiangalia ninaofanya biashara nao ni kutoka kila chama sasa haya mambo ya kufurahia vifo vya wengine sijui tunakwenda wapi sasa
Mkuu mimi niko mbali sana na hata hizo siasa sina mpango nazo tena.
Nyie endeleeni kumwagiana matindikali
jamani kifo kituunganishe wakuu, marehemu apumzike kaburini na siku ya hukumu ahukumiwe kwa haki kutokana na aliyoyafanya duniani wakati wa uhai wake.
Amina!!
Kamanda teso, unanivunja mbavu..ni kweli hiyo kata ni yetu ila policcm wataleta fujo sana.virungu naabomu sina imani na ccm wala policcm.