MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 275
Kuna haja ya kubadilisha sheria ya uchaguzi maana inawezekana wakati sheria hii ilipopitishwa hawakuangalia ka
ma kuna kifo.
............
............
kweli maana jee wakifa viongozi weeeeeeeengi maana ya Manani ni mengi; uchaguzi utarudiwa nchi nzima kwa gharama za nani?
ila sometimes ni faida kwa CDM maana wanjikwapulia tuuu phaaas!