Diwani wa CCM afariki (Morogoro)

Diwani wa CCM afariki (Morogoro)

Jamani mtu akifa haendi peponi.Sawa Bwana ametoa ila Mungu hauwi bali ibilisi.Mtu akifa anakuwa amelala akisubiri hukumu.
 
Huu uzi naona watu wamekula sana ban,Mungu akuweke panapostahili Diwani,poleni wafiwa.
 
Wana jf, napenda kutoa pole ya rambirambi, kwa wenzetu wa ccm kwa kufiwa na diwani wa morogoro.bwana alitwaa na bwana ametia jina la bwana libarikiwe...amina
 
hii kata chadema hakikisha mnaichukua. rip diwani. Mungu akuweke mahari pema peponi. mia
 
Back
Top Bottom