Diwani wa CCM afariki (Morogoro)

Diwani wa CCM afariki (Morogoro)

Mkuki kwa nguruwe mkuu! Wao wepesi sana wa kujisahau

Kamanda sweetylady hawa magamba wameshatutukana sanaa..kutunyanyasa sana, kutupiga virungu naabomu sanaa wakisaidiwa na ndugu zao policcm. Sasa basi sisi tunawapa kichapo kwenye sanduku la kura.baaasi.
 
Kamanda sweetylady hawa magamba wameshatutukana sanaa..kutunyanyasa sana, kutupiga virungu naabomu sanaa wakisaidiwa na ndugu zao policcm. Sasa basi sisi tunawapa kichapo kwenye sanduku la kura.baaasi.


Ni kweli kamanda.... tutaanza kuwaliza mwakani kwenye uchaguz wa serikali za mitaa....2015 tunamalizia
 
Ni kweli kamanda.... tutaanza kuwaliza mwakani kwenye uchaguz wa serikali za mitaa....2015 tunamalizia

Ni kweli kamanda, ila policcm watatupiga sana maana ndio njia wanayoona itawasaidia kupunguza machungu.tatizo kubwa kwa sasa ni hawa policcm, magamba yalisha surrender siku nyingi sana, wao tegemeo lao kubwa kwa sasa ni policcm .
 
Ni kweli kamanda, ila policcm watatupiga sana maana ndio njia wanayoona itawasaidia kupunguza machungu.tatizo kubwa kwa sasa ni hawa policcm, magamba yalisha surrender siku nyingi sana, wao tegemeo lao kubwa kwa sasa ni policcm .

Ooh, sahivi wakae vizuri manake tutapigana nao asee... Tumechoka kuonewa kamanda kumbo.... Polisi wajiangalie sana
 
Last edited by a moderator:
Poleni wafiwa......kata yetu hiyo CDM ishakuwa.

Kamanda miss karibu, naitwa kamanda kumbo.kama mnanikumbuka nilikuwa mdau mkubwa sana na star mkubwa mno ndani ya zeutamu enzi zileee na akina mwanakijiji, hogi, mama pekecha pekecha na wengineo wengi. 😛eace:
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1375027139518.jpg
    uploadfromtaptalk1375027139518.jpg
    74.1 KB · Views: 59
RIP kagamba minimi,pole kwa wafiwa.
Mungu wachukue na magamba makubwa tuishi kwa amani
 
Najua viongozi wengi wa ccm mpo umu jukwaani..angalieni uu ujumbe wa watu umu..jitafakarini ndugu zangu
 
Kwa mlengo huu nashindwa kutofautisha chadema na alqaeda au al shabab kwani wote hufurahia vifo vya wengine na wanaua watu kwa jina la Mungu
hata mimi napata kigugumizi sana na hao chadema wamemuua mwangosi then wanasingizia polisi, while polisi ni chombo cha serikali,sio cha chama...labda wangesema ni green gd,cdm wameua mtwara afu wanasingizia ni serikali ....
 
poa kamanda RIP Kamanda utu ni bora kuliko madaraka. ila hiyo nembo ya chama chake itoeniînanichefua sana.
 
Mungu akulaze mahala pema peponi...“Swala la ushangilia ndugu katutoka kwa kuchukua kata ni ujinga“.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa na bwana ameitoa kata kwa people's... R.I.P gamba.
 
hata mimi napata kigugumizi sana na hao chadema wamemuua mwangosi then wanasingizia polisi, while polisi ni chombo cha serikali,sio cha chama...labda wangesema ni green gd,cdm wameua mtwara afu wanasingizia ni serikali ....
Unachekesha..uzuri Mungu huumbua wanafiki, kuhusu msiba wa mwangosi magamba yalitaka kudanganya umma kuwa ni chadema wamemuuwa, lakini Mungu ni mkubwa kuuweka ushahidi wa waliomuuwa marehemu mwangosi....ndio maana mpaka sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa juu ya kifo cha mwangosi. MUNGU AMREHEMU MAREHEMU MWANGOSI.INASIKITISHA SANA BASI TUU.POLICCM MNAMALIZA WATU SABABU YA KUINISURU CCM.ILA YOOOTE YANA MWISHO.
 
Back
Top Bottom