Mkuki kwa nguruwe mkuu! Wao wepesi sana wa kujisahau
Kamanda sweetylady hawa magamba wameshatutukana sanaa..kutunyanyasa sana, kutupiga virungu naabomu sanaa wakisaidiwa na ndugu zao policcm. Sasa basi sisi tunawapa kichapo kwenye sanduku la kura.baaasi.