HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
yeah, kiranja wa nidhamuMkuu unamfahamu mtu anaitwa PAW, shauri yako
yeah, kiranja wa nidhamuMkuu unamfahamu mtu anaitwa PAW, shauri yako
Mwanzo wa anguko la NGO ya CDM
Very cheap publicity by CCM! Halafu hii sababu ya kusema wanaogopa maandamano kwamba yataleta machafuko ndiyo imekuwa hoja kubwa ya kampeni za CCM dhidi ya Chadema kwa sababu wanashindwa kabisa kujibu hoja za ufisadi na wizi ubaofanywa na viongozi wao.Kwa hivyo hoja rahisi ni "maanmdamano yatavuruga nchi" BASI! Hivi CCM hamuwezi kabisa zaidi ya hapo?
Tundu Lissu chadema ni wavuta bangi?
Very cheap publicity by CCM! Halafu hii sababu ya kusema wanaogopa maandamano kwamba yataleta machafuko ndiyo imekuwa hoja kubwa ya kampeni za CCM dhidi ya Chadema kwa sababu wanashindwa kabisa kujibu hoja za ufisadi na wizi ubaofanywa na viongozi wao.Kwa hivyo hoja rahisi ni "maanmdamano yatavuruga nchi" BASI! Hivi CCM hamuwezi kabisa zaidi ya hapo?
Kwa hesabu yangu ya haraka haraka, katika post 87 zilitolewa hapo juu, ni 14 tu ndiyo pro-CCM. Namshukuru mtoa mada kwa kuleta hoja zinazoonyesha jinsi CCM inavyokwenda korongoni.
Hata Polls za uchaguzi mkuu hapa CDM inaongoza, lakini huko kwenye dunia ya ukweli wana majimbo 22 katika 280, mgombea urais wao anashindana na akina Dovutwa, katika halmashauri za nchi nzima wanaongoza labda tano, kwa hiyo endeleeni tu kujipa moyo.
Dunia ya ukweli = NEC + UWT + makada wa CCM waliojificha nyuma ya Returning Officers (aka DEDs) + police force.