Diwani CHADEMA arejea CCM

Magamba yote yaliojificha CHADEMA huu ndio wakati muafaka wa kurudia mbuyu wao CCM. Jamaa kanikumbusha kisa cha Gidioni wa kwenye Biblia. Maana baada ya kuwataka wapiganaji wote wenye udhuru kuondoka kikosini hata hivyo Mungu alimwamuru Gidioni kuwapeleka mtoni wale waliobaki ili wakanywe maji.

Waliojimwaga midomo yao majini bila kuwa na tahadhari, Gidioni aliamriwa kuwapunguza kikosini na akabaki na wale tu waliokunywa maji huku wakichukua tahadhari.

Sasa haya magamba yameingia CHADEMA na yanataka yaendelee na ufisadi waliokuwa nao kabla. TUNASEMA CHADEMA PITISHA HAYA MAGAMBA YOTE YALIYOKUJA CHAMANI KATIKA KIPIMO CHA MOTO, YALE TU YATAKAYOTOKEA NGAMBO YA PILI NDIYO YABAKI, MAANA NI SAFI.

YATAKAYOTEKETEA KATIKA HIKI KIPIMO WALA HAKUNA WA KUYALILIA MAANA YATAKUWA YAMEIRUDIA ASILI YAKE.

.
 

Very cheap publicity by CCM! Halafu hii sababu ya kusema wanaogopa maandamano kwamba yataleta machafuko ndiyo imekuwa hoja kubwa ya kampeni za CCM dhidi ya Chadema kwa sababu wanashindwa kabisa kujibu hoja za ufisadi na wizi ubaofanywa na viongozi wao.Kwa hivyo hoja rahisi ni "maanmdamano yatavuruga nchi" BASI! Hivi CCM hamuwezi kabisa zaidi ya hapo?
 
Bora amehamia huko CCM kwa sababu huko ndiko kunakomfaa zaidi......Kwa mawazo haya kwamba malengo ya Millenia yatafikiwa kwa mwendo wa ufisadi,uzembe,kulindana,Takwimu za kupikwa pamoja na kukosa mikakati na dira sahihi ya kurahisisha maendeleo ili tufikie hizo objectives ndivyo vitakvotufikisha Millenium? Mbona huu ndiyo usaliti mkubwa kuliko yote? Ameshindwa ku-fit katika system asitoe visingizio

Hata akina Nelson Mandela,Walter sisulu,Steve Biko walisalitiwa hivi hivi .....cha msingi ni kwamba hizi ni harakati,hii ni movement ni lazima katika msafara huu kuwe na cowards wengi.Wasaliti wasipokuwapo katika harakati za Mageuzi basi hatutakuwa na kitu cha kujivunia katika mampambano/uanaharakati wetu.Hata katika maandiko matakatifu,usaliti ulipewa sehemu ya pekee na unajulikana,wanajulikana......Tusonge mbele,tutashinda
 

Very cheap publicity by CCM! Halafu hii sababu ya kusema wanaogopa maandamano kwamba yataleta machafuko ndiyo imekuwa hoja kubwa ya kampeni za CCM dhidi ya Chadema kwa sababu wanashindwa kabisa kujibu hoja za ufisadi na wizi ubaofanywa na viongozi wao.Kwa hivyo hoja rahisi ni "maanmdamano yatavuruga nchi" BASI! Hivi CCM hamuwezi kabisa zaidi ya hapo?

Ni kweli usemayo -- hawana hoja ya kuweza kujibu wizi na kutaka kurudisha imani kwa wananchi wanaowatosa kwa maelfu siku hadi siku wanakazania hii ya maandamano!

Kweli CCM mko katika great SHIT! Halafu isitoshe madudu yenu yanazidi kuibuka kila kukicha bila break! Mnadhani kununuwa madiwani, au hata wabunge kutasaidia kurudisha imani? YOU ARE REALLY FINISHED!
 
Mimi nadhani imefika wakati CCM itangaze waziwazi kwamba Diwani au Mbunge anayetaka kununuliwa na Magamba ajitoketze mapema na anunuliwe, na hela achukuwe mwenyewe. Ni vigumu kubembeleza mtu abakie na utu wake.

Nakubaliana na hoja hapo juu yote hii ni CCM kushindwa kujibu hoja za wizi wa watu wao walio serikalini..
 
Kwa hesabu yangu ya haraka haraka, katika post 87 zilitolewa hapo juu, ni 14 tu ndiyo pro-CCM. Namshukuru mtoa mada kwa kuleta hoja zinazoonyesha jinsi CCM inavyokwenda korongoni.
 

Very cheap publicity by CCM! Halafu hii sababu ya kusema wanaogopa maandamano kwamba yataleta machafuko ndiyo imekuwa hoja kubwa ya kampeni za CCM dhidi ya Chadema kwa sababu wanashindwa kabisa kujibu hoja za ufisadi na wizi ubaofanywa na viongozi wao.Kwa hivyo hoja rahisi ni "maanmdamano yatavuruga nchi" BASI! Hivi CCM hamuwezi kabisa zaidi ya hapo?


Hakika Madevu. Na hayo usemayo ndiyo yanawafanya very few ya wachangiaji humu ndani kwenda nje ya mada kwa kujifanya kuingiza mambo mengine yasiyohusu mada hii.
 
Huyo diwani Mwacheni arudi home kwake CCM....,
CDM hakuna kulala,
CDM hakuna kuhonga au kuhongwa....,

Hawa wanasiasa uchwara wamezoea kupewa zawadi kila kukicha ktk halmashauri zao, so ss inavyoonekana walimtenga madiwani wenzie wa CCM kule ktk halmashauri yao.....!

Mh Mchemba alisimamia show ya huyo diwani kuhama CDM, kisa katumia posho ya mjengoni (katiba ya CCM - kutoa rushwa ni ruksa)....!
je, Mh Mchemba asingekuwa na hiyo posho ya mjengoni angeweza kumrubuni huyo Diwani?

aaaaagah jamani njaaa ya fikra kitu mbaya sana!
 
Ooooops, afadhali walirudi walikotoka maana wamegundua kazi waliyotumwa kuifanya CDM ni ngumu wamezoea kule Maganda wanapiga blabla siku inaingia! mwenda kwenu kwaheri eeee! kwaheri X2 nakutakia maisha mema aaaa kwaheri urudi kwenu salama!
 
Kwa hesabu yangu ya haraka haraka, katika post 87 zilitolewa hapo juu, ni 14 tu ndiyo pro-CCM. Namshukuru mtoa mada kwa kuleta hoja zinazoonyesha jinsi CCM inavyokwenda korongoni.

Hata Polls za uchaguzi mkuu hapa CDM inaongoza, lakini huko kwenye dunia ya ukweli wana majimbo 22 katika 280, mgombea urais wao anashindana na akina Dovutwa, katika halmashauri za nchi nzima wanaongoza labda tano, kwa hiyo endeleeni tu kujipa moyo.
 
Ni jambo la kumshukuru Mungu kwa kutuonesha askari wasaliti wakati wa amani.
Imani yangu ni kwenye JESHI DOGO LENYE NIDHAMU.
Jeshi kubwa lisilo na nidhamu ni kundi la wahuni.
 
Hata Polls za uchaguzi mkuu hapa CDM inaongoza, lakini huko kwenye dunia ya ukweli wana majimbo 22 katika 280, mgombea urais wao anashindana na akina Dovutwa, katika halmashauri za nchi nzima wanaongoza labda tano, kwa hiyo endeleeni tu kujipa moyo.

Dunia ya ukweli = NEC + UWT + makada wa CCM waliojificha nyuma ya Returning Officers (aka DEDs) + police force.
 
[FONT=Verdana, Arial, Helvetica, sans-serif]Few people are capable of expressing with equanimity opinions which differ from the prejudices of their social environment. Most people are even incapable of forming such opinions. [/FONT]Albert Einstein
 
cdm hili ni fundisho tosha kwa siku zijazo,huyu diwani ni mashudu kabisa hivi kweli unaingia kwenye chama kwa kushinikizwa eti ili tu ushinde,kwanza anaonekana ni mwenye uchu wa madaraka na pili ni muongo kwa akili yake sidhani kama kuna mwananchi anaweza kumtaka awe leader
 
Poor thinkers always run for poor conclusions,Brilliant thinkers opt for great and valuable solutions
 
Back
Top Bottom