Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
<br />Mwanzo wa anguko la NGO ya CDM
<br /
diwani liwe anguko la chama we upeo wako ni kipeuo cha moja CDM wanajiandaa kufukuza mbunge
<br />Mwanzo wa anguko la NGO ya CDM
<br />Baada ya tukio hili tunataraji uchaguzi wa diwani kurudiwa. For CCM, it is too early to celebrate. Wwanaweza angukia pua uchaguzi utakapofanyika.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Kenge ni kenge tu hata arefuke vipi hawezi kuwa mamba. Kenge wengine waliojiingiza ktk kundi la mamba warudi kwa kenge wenzao. Tunahitaji ama ni bora tuwe na mamba wachanga kuliko kuwa na kenge wengi waliokomaa. Kuna msemo usemao kusikia kwa kenge ni kutoka damu masikioni.
<br />
<br />
ushauri wa bure Kwa CDM: Acheni kuchukua magamba na kuyaingiza ndani. Magamba hayaaminiki hata kama yakiwa ni Makapi
Mwanzo wa anguko la NGO ya CDM
alihamia CDM baada ya kuangushwa kura za maoni ili apate madaraka. Watu wanaokuja CDM kutafuta madaraka kama kina Shibuda hawafai kabisa. Wakati sisi tunapigania uhuru kamili wa Mtanzania, wao wanapigania matumbo yao. Njaa itawaua.
<br />Mwanzo wa anguko la NGO ya CDM
<br />Mbona walishaondoka akina Kaborou CDM haijaanguka? Huyu Diwani upeo wake umekaa kimagamba! Ndani ya "utulivu na amani" kuna ufisadi wa kutisha na bila kuwapelekesha mchakamchaka Magamba yatakula bila kufuta midomo!