MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Mbwa akirejea matapishi then inaonekana ana njaa sana basi...Mwache ajiongezee siku za kuishi kwa matumaini.
Synovet juzi tuu walisema ungefanyika uchaguzi wa rais Dr Slaa wa CDM angeshinda, kweli watanzania wengi ni wavuta bangi basi kumchagua rais from CDM, pole zako na hasira zako.huyo diwani amefunguka macho cdm ni chama cha wavuta bangi
Serious?Huyo njaa inamsumbua
<br />
<br />
ushauri wa bure Kwa CDM: Acheni kuchukua magamba na kuyaingiza ndani. Magamba hayaaminiki hata kama yakiwa ni Makapi
Mkuu sijaipenda hii bana, kwani kutoka iramba ndio nini?Kama anatoka Iramba sishangai.
where is your common sense? We mtanzania wa wapi huna nidhamu? Yaani Kitila Mkumbo, Mwesiga Baregu, Mzee Mtei, Magale shibuda, John Mnyika, Tundu Lissu na baba zatu waliochukua kadi za chadema ni wavuta bangi?huyo diwani amefunguka macho cdm ni chama cha wavuta bangi