Hahahahaha, Alter mbona hujibu? Au ndio unamuandalia jibu lake kwanza?Khaaaaa!!!
Alter, you spoke too fast, Boflo is straight. lolKanigusa bana... hapa nina Kilo mia... Huyo dada alovunja kiti kwangu bado ni mwembamba japo kidogo. Boflo kwa kweli anakua insensitive na kukosea heshima Wanawake.
Mwanaume alo mwanaume wa kweli can handle any woman no matter the size... ndio mana kuna styles mbali mbali za kufanyia Mapenzi ambazo zaridhisha wote wawili. Bahati mbaya sana ni kua hizo sifa alizotoa zina ukweli ndani yake ingawa bado atuvunjia heshima hasa tulio oversize.... Ila hakuna ambalo hata moja hapo Lanigusa. Bahati mbaya Boflo naona yupo interested in Men angekua interested in women, ningetuma propasal Kwa Sweetie anikubalie akae na mimi a Week tu - ambayo itamfanya abadilishe hayo mawazo maisha (Ila bahati mbaya mpenzi wangu yupo possesive sijui kama angekubali...lol)
Mwanamke unamkumbatia !
Then inakua kama umeukumbatia M'buyu !
Mikono yako mwanaume haikutani mgongoni ! Mwake
Duuh !
Bt still katika hili linabaki na selection ya Mwanaume .
Hahahahaha, Alter mbona hujibu? Au ndio unamuandalia jibu lake kwanza?
@ Boflo: hivi unaongea kuhusu dating au kuoa kabisa? na hizo facts zako (kushindwa kuzaa, kuvunja furniture, kumaliza chakula ndani) zina backup evidence au ni observation yako binafsi?
Alter, you spoke too fast, Boflo is straight. lol
Damn! kavunja kiti wallahi!
But kiti kilikua kibovu kile...
Nimeona clip. Kiti kimevunjika sababu kakitumia visivyo. BTW, I'm still waiting for your offer.hata kuoa....
na evidence ya kuvunja furniture....angalia clip ya video nimeweka
Rejao likes this..Kanigusa bana... hapa nina Kilo mia... Huyo dada alovunja kiti kwangu bado ni mwembamba japo kidogo. Boflo kwa kweli anakua insensitive na kukosea heshima Wanawake.
Mwanaume alo mwanaume wa kweli can handle any woman no matter the size... ndio mana kuna styles mbali mbali za kufanyia Mapenzi ambazo zaridhisha wote wawili. Bahati mbaya sana ni kua hizo sifa alizotoa zina ukweli ndani yake ingawa bado atuvunjia heshima hasa tulio oversize.... Ila hakuna ambalo hata moja hapo Lanigusa. Bahati mbaya Boflo naona yupo interested in Men angekua interested in women, ningetuma propasal Kwa Sweetie anikubalie akae na mimi a Week tu - ambayo itamfanya abadilishe hayo mawazo maisha (Ila bahati mbaya mpenzi wangu yupo possesive sijui kama angekubali...lol)
Tia fitna tena .....nipigwe ban kama mwanzo
Missed you too Aunty. Ukipotea usipotee sana please... :busuMy Mwali..... I missed you sooooo Much!
hongera,hop u manage kuwakunja
Achana nae basi. Sasa unataka afaidi kujifunza heshima kupitia kwako?No Alter it was makusudi.... He is so set on kuelezea wanawake on the neg side of things... hio ni moja ya qualities.... After all hana heshima bana.....
kwa hiyo sisi wanene tuuwawe eeeh...?