Mbwa anaondoa Sunnah, hivyo hairuhusiwi.
Hakika wale wanaoendekeza kufuga wanyama wasio safi Kama mbwa, hawatapata maswahaba waliohidiwa
Unaruhusiwa kufuga kwa ajili ya ulinzi tu.Sharti awe na vyombo vyake vya kulia na awe bandani hadi muda wa usiku mfungulie allinde na asubuh kurudi. Haifai mbwa kukaa sofani na binadamu ,kwani mate yake akikugusa unajiosha mara 7 ,mara ya kwanza tumia mchanga.
Duuh!Unaruhusiwa kufuga kwa ajili ya ulinzi tu.Sharti awe na vyombo vyake vya kulia na awe bandani hadi muda wa usiku mfungulie allinde na asubuh kurudi. Haifai mbwa kukaa sofani na binadamu ,kwani mate yake akikugusa unajiosha mara 7 ,mara ya kwanza tumia mchanga.
kwani vyombo unatumia kulia mtu.mbona kama unaongea wepesi kama wale wabungeni ccmUnaruhusiwa kufuga kwa ajili ya ulinzi tu.Sharti awe na vyombo vyake vya kulia na awe bandani hadi muda wa usiku mfungulie allinde na asubuh kurudi. Haifai mbwa kukaa sofani na binadamu ,kwani mate yake akikugusa unajiosha mara 7 ,mara ya kwanza tumia mchanga.
Wewe umesoma shule ya wapi.Simba,paka chui,tiger wako kundi linaitwa feline family.wanacho nichekesha kuwa dini yao ni kasoro wapo na uwezo wa kufuga simba,chui na paka ila hawajui wote kuwa ni jamii pamoja na mbwa.
dini ni dalili za ukichaa
Aaaah waaapi, hakika adhabu yake ni kubwa mno, na amejikoseha katika Kila Lili jemaMademu 72 je watapata?
Mbwa anaruhusiwa kwa ajili ya ulinzi na Uwindaji haruhusiwi kufuga kama pet mnashikana shikana juu ya Makochi.Uislamu una muongozo gani wa kidini katika kufuga mbwa wa ulinzi au kama mnyama kipenzi(pet) na kuishi ndani ya nyumba?
Hali ya ufugaji mbwa Uarabuni ikoje?
Hapo sasa hata mimi sitafuga. Mademu 72 bikra ntakosa? Wallah wabillah sitofuga mbwa kabisa.A
Aaaah waaapi, hakika adhabu yake ni kubwa mno, na amejikoseha katika Kila Lili jema
Chui, Simba, Paka ni jamii moja tofauti na mbwa. Ndio maana simba ama chui wanaitwa "BIG CATS"wanacho nichekesha kuwa dini yao ni kasoro wapo na uwezo wa kufuga simba,chui na paka ila hawajui wote kuwa ni jamii pamoja na mbwa.
dini ni dalili za ukichaa
Huyo mnyama atakayewindwa na mbwa ni halali ila labda kama mbwa atamuua kabla hamjamchinja ndio atakuwa haram.Kwenye uwindaji akimkamata mnyama huyo mnyama hawi haram?