- Thread starter
- #21
Asante sanaaUbunifu mzuri
Asante sanaaUbunifu mzuri
Asante sanaNimeipenda muonekano wake, Safi.
Takbir
Asanteiko poa
Amen! Asante sanaKazi nzur sana mkuu Allah akulipe kheri hapa duniani na kesho akhera
ThanksWell done ✅
Quran
Asante sana. Taf msaada kushare kwa wengineMaashaallaah
Safi kabisa
Ni sahihi. Wakati unaifungua itakuuliza kuchangua lugha. Chagua kiswahili kwenye orodha au unaweza tafuta Swahili hapo kwenye orodha ya lugha. Pia kama ulikosea hapo mwazoni unaweza kubadili lugha ukifungua Surah yoyote kuna icon hapo juu kulia ukifungua unaweza kubadili lungha ya TafsiriNimeipakua iko safi,ila kwa ufafanuzi zaidi kwa atakaye ifungua ataikuta kwenye tafsir ya kiingereza,hapo nenda kwenye kubadilisha lugha ya tafsir,chagua Tanzania Albaruwan tafsir ,imekaa vyema
😛😛Hiyo ni kwenye HadithNaomba uniwekee kwenye sura ya wale Mabikira 72 tutakaoenda kukabidhiwa niisikilize na mimi initially moyo!!